My name is pandisho,tafadhali naombeni ukaribisho wenu,nimeamua kujiunga baada ya kuona mawazo ya vichwa vilivyomo humu.Bila shaka sijachelewa sana kama ambao hawajajiunga
Hellio!
to wanajamii wote,nawapongezeni kwanza kwa safu hii nzuri yenye
kumfanya mtu akuwe updated na mambo yote bongo na hata mbele mbele.
Na pia poleni kwa kazi nzito yakutafuta habari hz na pia...
Kama ni Maisha yako, marafiki wapo! maisha yanakwisha! marafiki wanakwisha! Kwanini uwahitaji watu wengine wawe marafiki!endapo una maisha yako na marafiki wapo... Nipo sana waungwana, ila nipo...
Mtaalam nimeingia. Nawasalimu wote wanajamii. Nasikitika nimechelewa sana kujiunga japo naingia katika mtandao huu mara nyingi sana! Mtaniona bila shaka.
Habari wana jf, nimekua nikifaidi ya baraza hili nikia kwa nje muda mrefu, sasa nimeamua niingie ndani kwani utamu wa ngoma si kuangalia wengine bali kuingia nakucheza. MASHAKABWA
WanaJF wote nawashukuru kwa kuwa great thinkers na nawajulisha kuwa nimeamua kujiunga ili tuweze kubadilishana mawazo na kuweza kuikomboa nchi hii. Hongereni sana,na tuko pamoja
Salamu zenu wote wa jamvini, napenda kutoa utambulisho kuwa mimi ni Wa mjengoni kule kule zinapozaliwa sheria.Nimekuwa natembelea humu kwa muda mrefu bila kuwa member sasa nadhani nitakuwa karibu...
Heshima kwenu wANA jf.
Nimekuwa sipo ktk forum yetu hii kwa kipindi cha karibia miaka miwili kwa sababu mbalimbali.
Nafurahi kurejea tena na kujiunga nanyi. Asanteni sana.