Mseriandy
Member
- Mar 27, 2011
- 35
- 6
Mimi ni Mtanzania mzawa, ninaishi Tanzania.
Nimekuwa nikisoma majadiliano motomoto hapa JF kuhusu ukombozi na ujenzi wa Taifa. Mimi pia nimevutiwa kujiunga na JF ili niweze kuuliza maswali na pia kuchangia mada mbalimbali.
Ninaomba mawazo haya kutoka hapa JF kutoka kwa watu wenye elimu na uzoefu tofauti tofauti vile vile yawafikie wengi zaidi kupitia magazeti.
Au kama Nashauri lianzishwe Jarida la Wiki, 'yatokanayo mtandao wa jamii'
kwa mfano kwenye jamii forums kuna mawazo mazuri sana kuhusu ujenzi wa taifa letu (kilimo, madini,utalii,elimu), ushauri kwa viongozi wetu, kuikosoa serikali na pia mahusiano ya kawaida(ndoa,muziki, michezo)
asanteni.
Naahidi nitakuwa mwana JF mwema
Nimekuwa nikisoma majadiliano motomoto hapa JF kuhusu ukombozi na ujenzi wa Taifa. Mimi pia nimevutiwa kujiunga na JF ili niweze kuuliza maswali na pia kuchangia mada mbalimbali.
Ninaomba mawazo haya kutoka hapa JF kutoka kwa watu wenye elimu na uzoefu tofauti tofauti vile vile yawafikie wengi zaidi kupitia magazeti.
Au kama Nashauri lianzishwe Jarida la Wiki, 'yatokanayo mtandao wa jamii'
kwa mfano kwenye jamii forums kuna mawazo mazuri sana kuhusu ujenzi wa taifa letu (kilimo, madini,utalii,elimu), ushauri kwa viongozi wetu, kuikosoa serikali na pia mahusiano ya kawaida(ndoa,muziki, michezo)
asanteni.
Naahidi nitakuwa mwana JF mwema