Hellow wana jf.
Nimekua mhudhuriaji wa jukwaa hili kwa muda mrefu kabla ya kuamua kujiunga. Na hata baada ya kujiunga miezi michache ilopita, sikuwa nimejitambulisha. Nipokeeni niwe mmoja wenu...
hakika mungu anatupenda soote na ndo maana ka 2 connect pa 1 ili kubadilishana mawazo,kugawana yale yalioko vichwani vyetu 2nayo yafkilia.long live jamii forums.
Natumai wana JF ni wazima na mnaendelea na mchakato wa kuendeleza maisha,Nimetamani sana kuwa pamoja nanyi katika jukwaa hili na ndio sababu nabisha,na ni imani yangu kuwa ntakaribishwa kwa sababu...
Waungwana wote hamjambo?
Nimekuwa nikisoma JF na nimevutiwa saaa na michango yenye kuelemisha.
Mimi ni mdada wa umri wa kati niliyeishia sekondari na kujiendeleza.
Naomba ukaribisho wenu...
Am a Ugandan so my first priority is to learn Swahili (Ha!) and I really want to mix with East Africans. I am an activist (so I must be in the opposition right?) I live in Florida, USA but I...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.