Nawasalimu nyote ndani ya ukumbi huu wa jf. Ni mara yangu ya kwanza najiunga na mtandao huu. Ni matumaini tutafahamiana na kuelimishana zaidi kupitia mijadala mbalimbali. Tafadhali mnipokee
Kwa muda mrefu nilifikiri nina kila kitu muhimu kwa maisha yangu mpaka nilipochungulia kurasa za Jamii Forum. Kumbe nilikuwa naishi na njaa kali ya maarifa ilhali JF imejaa mapochopocho...
Habari wanajamii, kwa muda mrefu sana nimekuwa nikifuatilia dondoo mbalimbali kuhusu hii blog site, nimevutiwa kwa kuwepo kwa makala tofauti za kijamii hususani afya na mahusiano, hivyo bas nikiwa...
Heshima kwenu wanajamvi, hongereni sana kwa kulijenga taifa letu hili la mafisadi kwa mawazo yenu mazuri na kutufunza mambo mengi. nimekuwa nikitumia jamvi hili kupata habari kwa kina, hivyo na mm...
Viongozi salama?
Kwa ruhusa yenu naomba kujiunga katika hii shule zaidi ya shule, nimekuwa mwanafunzi mbaya kwa muda mrefu maana nimekuwa nafuatilia mijadala mbalimbali ya kuelimisha nikiwa kama...
Kwa kipindi kirefu tangu Tanzania kuwa na mitandao ya mawasiliano Bukoba ilionekana tofauti sana kwa kutokushiriki katika Internet, lakini kwa sasa kuna mwamko kwani kiasi cha watu wanaochat...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.