Duh,karibu mtoto laini!
Karibu sana JF mkuu.
Asante Bajabiri
Softbaby,karibu sana jamvini. Ulivyosema 'hodi hodi ukumbini' umenilumbusha mbali kweli...,enzi za ngonjeraa...!
nafurah kuwa mtu wa 1 kukualika jamvini,uyasomayo na kuyaona au kuyasikia una'uhuru wa kuyabeba au kuyapotezea