Hodi hodi ukumbini

Softybaby

Member
Dec 30, 2011
6
0
Nawasalimu nyote ndani ya ukumbi huu wa jf. Ni mara yangu ya kwanza najiunga na mtandao huu. Ni matumaini tutafahamiana na kuelimishana zaidi kupitia mijadala mbalimbali. Tafadhali mnipokee
 
Softbaby,karibu sana jamvini. Ulivyosema 'hodi hodi ukumbini' umenilumbusha mbali kweli...,enzi za ngonjeraa...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom