Je, wajua kuhusu marashi, pafyume, uturi na manukato?
MARASHI ni vitu vyenye manukato vinavotumika kuandaa perfume km vile maua, matunda, majani nk.
PERFUME ni kimiminika kilichoandaliwa...
Nawasalimu wanajamvi wote!
Niende moja kwa moja kwenye dhumuni la uzi huu, Mimi ni jinsia KE na kuna kitu kimoja kinachonitatiza kuhusu ngozi yangu tangu nimeanza kujitambua katika kukua kwangu...
Habari za mchana huu wakuu?..
njooni mtoe maoni kuhusu hii kasumba mbona wanawake wasikuizi wakivaa nguo vyupi au makufuli yanaonekana au yanajichora?
hii kitu ni sahihi na je mbona Enzi hizo...
Leo nimegundua napenda sana mwanaume akivaa kanzu. Kanzu ina usexiness fulani hivi sijui kwa sababu asili yangu ni Pwani.
Kanzu nyeupee halafu awe ananukiaaaaa...na makobazi fulani. Huwa...
Habari wakuu,
Ninaomba msaada kwa mwenye uelewa wa cream nzuri(isiyochubua please)kuondoa tatizo la chunusi usoni kwangu.
Nimeshatumia vitu vingi Lakini baada ya muda tatizo hurudi.Ninaomba...
Wakuu habari
Naomba kuuliza perfumes gani nzuri za kiume, ambazo zinanukia vizuri na kukuacha ukinukia kwa mda mrefu?
Asanteni
Sent from my iPhone using JamiiForums
Habari zenu wakuu.
Mara baada ya salama naomba niende moja kwa moja kwenye mada.
Kuna Binti moja mzuri sana kiumbo na kisura lakini huyu binti amefuga kucha ana kucha ndefu kweli kweli mpaka...
Habarini waungwana katika jukwaa hili tukufu la utanashati na ulimbwende, miaka ya hivi karibuni kumekuwa na mlolongo wa tiba lishe, madawa, na mbinu nyinginezo za kupunguza uzito wa mwili, jambo...
Habari zenu wandugu,
Naomba kufahamu ama kujuzwa kama kuna mahusiano kati ya kuharibika kwa ngozi na unywaji wa pombe kali/bia? Na kama ipo ni kwanini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumezoea kuona wale vijana wakipita majumbani kukata kucha za wanawake, kubandika kucha bandia pamoja na kuwapaka rangi. Binafsi tabiaa hii siipendi na hata wife nilimpiga marufuku kama anataka...
Habari zenu? Nilipokuwa mdogo hadi Darasa la Saba nilikuwa mweupe sana hadi nikawa najipaka masizi ya mkaa maana watoto walitania sana kulingana na rangi yangu, wengine walidiriki kuniambia mweupe...
Akina dada mtakuwa na majibu sawia. Nataka kumpa mtu zawad ya kitenge kizur na cha class A. Akashone nguo. Sijui nakitambuaje au nakipataje kitenge kizur sana dar. Sina mgogoro wa bei bali...
Haya mafuta achaneni kabisaah
Unakua na ngozi nzuri hususan usoni na kila mahali ila white dots kwenye mikono au miguuni havitokuacha salama
Wengine hadi michirizi imewaletea....hii ni hatari...
MTU na hasa mwanamke anayetambua umuhimu wa mwonekano mzuri hutamani kuwa na nywele nzuri za kutosha na zenye afya yake ya asili. Tatizo la kupotea kwa nywele au upara (wengine hupenda hali hii)...
Kuvaa pia nakupendeza ni vitu ambavyo ni tofauti ila ni lazima ujue kwanza physical body structure yako na ni aina gani ya nguo zinaendana na body yako.
For Instance
Sent using Jamii Forums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.