Habari wakuu,
Ninaomba msaada kwa mwenye uelewa wa cream nzuri(isiyochubua please)kuondoa tatizo la chunusi usoni kwangu.
Nimeshatumia vitu vingi Lakini baada ya muda tatizo hurudi.Ninaomba mwenye Tiba ya uhakika anisaidie.
Nimesikia La vista cream inasaidia na haichubui Kuna mwenye testimony na hili?
Asanteni!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninaomba msaada kwa mwenye uelewa wa cream nzuri(isiyochubua please)kuondoa tatizo la chunusi usoni kwangu.
Nimeshatumia vitu vingi Lakini baada ya muda tatizo hurudi.Ninaomba mwenye Tiba ya uhakika anisaidie.
Nimesikia La vista cream inasaidia na haichubui Kuna mwenye testimony na hili?
Asanteni!
Sent using Jamii Forums mobile app