Tumia mafuta ya nazi mnara, ni mafuta bora sana ya kitanzania chupa elfu2 tuuNi mafuta gani yanayo faa kwa mtu nwenye ngozi isiyo kuwa na mafuta yaani ngozi kavu?
Yatakufaa labda usiipende harufu yakeShukurani mkuu alafu nilisahau kuweka jinsia yangu mm ni wakiume bado yatakuwa yananifaa?