Sabuni ya maji
Shampoo hutumika vizuri kama sabuni ya mikono, na ni rahisi kuliko sabuni ya kununua.
Tia robo shampoo kwenye kifungashio changanya na maji, tikisa ichanganyike vizuri.
Shaving...
Jamani najua mko poa!
Hivi siku hizi kila kaka huku mjini naona kabeba begi mgongoni, hayo mabebi ni makubwaa sana, na yamekaa kishamba shamba hivi. Mengi Yao yameandikwa Biowang mengine...
Hongereni kwa kazi!
Naomba kujua kwanini watu wengi wanapenda sana kufua nguo zao za ndani bafuni? Tena wengi hufua kwa kutumia sabuni ya kuogea ambayo kimsingi imetengenezwa kwa ajili ya kuogea...
Katika pita pita zangu mitaani nimekutana na njia kadhaa zinazodiwa kuotesha nywele kwenye upara, baadhi nimezifanyia majaribio lakini hazikuleta matokeo chanya.
Je, ni njia gani ya uhakika...
Wakuu habari,
Ukweli ni kwamba kutinda nyusi na kupaka wanja kwenye nyusi imekuwa ni urembo kwa wadada siku hizi, mimi pia napenda kutinda nyusi na kupaka wanja mwemyewe ila siwezi.
Nimekuwa...
Wasalam kama kichwa kinavyojieleza kwa wale ndugu zangu ambao sio wapenzi wa perfumes na body sprays tuambiane Marashi mazuri yakunukia binafsi kuna marashi yanapendeza kwa wadada wa ki Islam...
Habari wakuu....
Mimi ngozi yangu Nyeusi...ila nataka kidogo iwe kidogo niwe mweupe atleast maji kunde...
Katika kuulizia wakanambia nitumie LOTION YA VASSELINE....
Sasa sijui inaweza nisaidia??
Kuvaa vazi la kulalia hasa kwa mwanamke, umuwezesha mwanaume aliyenaye chumbani kutokumchoka.
Mwanamke anayevaa vazi la kulalia (night dress), humuongezea thamani katika mahusiano yake. Kuvaa...
Wanajamvi,
Naombeni mnisaidie,
Nifanyeje ili nguo isiwe na mnato yaani kuna neno wanasemaga sijui 'kushunta', jina lake silijui vizuri ila napata shida sana especially nikivaa pensi yaani...
Fanya mambo yafuatayo ili hali hiyo isitokee tena.
√ kata nywele sehem za siri, kisha chukua maji ya ukoko wa ugali unawie sehem hizo zinazonuka( hakikisha unafanya hivi ukiwa umeoga) fanya Mara...
Waungwana nawasalim wote, nikiwa dada ninaependa urembo, nimeona si vyema kuacha kuwajuza hili wapenda urembo wenzangu.
ni kuhusu grycelin Ya Zambia, kiukweli ninawashauri wote mnaopenda ngozi...
Nilipataga ajali nikaumia katika shavu langu la kushoto nikawa na kidonda baada ya kupona pakabaki kovu jeusi halitaki kuftika naomba kwa anaejua dawa anifahamishe tafadhari
Kuna tabia ya wanawake na wadada kufunga vibaya minywele yao ya bandia inakera sana, mtu uko kwenye daladala afu ujui umeachia minywele mingine migumu mirasta ya buku inawasha na joto lenyewe la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.