Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Hili neno nasikia linatumika vibaya hasa hapa bongo, usahihi ni upi? tiririkeni kwanza
0 Reactions
27 Replies
9K Views
Jamani nguo za ndani ni muhimu sana. Kwa mdada unapaswa kuwa safi muda wote usifikiri kwamba hakuna atakaye kuja kuona ndani umevaa nini, ya dunia mengi ipo siku usiyojua unaweza ukaumwa ghafla...
2 Reactions
65 Replies
10K Views
Ndugu zangu historia inaonyesha kuwa hapo awali kabla mkoloni hajaja africa,waafrika tulivaa magome ya miti tena tukufunika sehemu fulani fulani tu za mwili na pengine baadhi ya jamii waliishi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari kwenu, Mashindano ya urembo Tanzania wanashiriki vimbaumbau, mashindano ya urembo Duniani wanashiriki vimbaumbau!Nani kawadanganya vimbaumbau ndio warembo? Hali hii imepelekea hata dada...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habarini?? Natumaini mu wazima, Leo ngoja tujadili kidogo steaming asilia ambayo unaitengeneza mwenyewe na kuboresha afya na muonekano Wa nywele zako Mahitaji;- parachichi yai la kuku Wa...
3 Reactions
16 Replies
38K Views
Giligiliani (majani) Giligiliani ni kiungo cha kawaida sana,wengi tunakitumia jikoni kwenye mapishi mbalimbali, Kinaharufu nzuri na ladha ya uchachu kwa mbali. Majani na mbegu za giligiliani...
3 Reactions
2 Replies
9K Views
Chanel ya Mbc1 imetangaza kuwa imegunduliwa perfume yenye sumu na kuua nchini :- Iraq, Bahrein na Saudia, vilevile ktika mji wa Alain (U.A.E), na Bremi nchini Oman. Watu 8 nchini Iraq...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Kuna wengi hawajui umuhimu wa kucha kwenye mapenzi hasa kipindi cha kuamsha popo! Hivyo basi huziachia tu na uchafu wake au na marangi ya ajabu ajabu. Kucha zinaleta msisimko na hamu hasa...
1 Reactions
34 Replies
13K Views
Jaman kwa yyt anayejua dawa za kisuna zinazorefusha nyele anitajie au anielekeze dawa yyte ya kienyej inayorefusha nywele
0 Reactions
7 Replies
10K Views
Habari kwenu, Mwanamke mrembo wa kiafrika ana hali ya kujikubali na kujiamini hivyo ataepuka kuweka vitu vifuatavyo kwenye mwili wake: 1. Mawigi (Nywele bandia) Mwanamke anapoweka mawigi anakuwa...
2 Reactions
80 Replies
21K Views
Nilihudhuria msiba na hatimaye mazishi kwa kweli wanawake ktk msiba hiwa wanavaa kiheshimu mpaka inapendeza ila wakitoka hapo ni full majanga hivi kwann msivae ivo siku zote?
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Kweli baadhi ya wanawake mna tabu,sasa mkorogo gani huu unakuwa kama jini? Wadau naomba mnisaidie kuhusu huyu mwanamke aliyevaa skin nyekundu, Kapendeza? Huyo kulia ni mke wa mkubwa Fella (TMK...
0 Reactions
38 Replies
6K Views
kama mnaweza kuiga mashosti
6 Reactions
50 Replies
8K Views
Kule kwenye Jukwaa la Siasa kulikuwa na mashindano ya urembo wa wabunge wetu wa viti maalum. Thread ikafungwa kabla hajapatikana mshindi, lakini mimi moyo wangu ukawa umemdondokea huyu!! Hivi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hey, Naomba leo tujuzane ni mahali gani hua unanunulia mavazi yako, yani nguo za aina zote, viatu, n.k , ki ukweli nikiwa ninataka kutoka jambo linaloniumiza kichwa ni mavazi...
3 Reactions
61 Replies
8K Views
1. 2 3 4 5 6 7 8 9 10. Huu unaitwa INAHUU 11. Huu mtindo nimemabiwa eti unaitwa utajiju 12 13. Nimeambiwa kwamba huu mtindo unaitwa staki mashauzi 14
3 Reactions
18 Replies
21K Views
too much is harmful you women..!!
1 Reactions
255 Replies
25K Views
Wewe ni msichana mrembo ama kaka mzuri,una meno mazuri,muonekano wa meno yako unakupa uhuru mpana wa kusmile na hata kuangua kicheko,beautiful teeth adds attraction and makes you complete,kwa nini...
5 Reactions
23 Replies
7K Views
Who knew that being a convicted murderer could land you the esteemed title of “Miss Jail,” an award doled out by the Racife, Brazil women’s prison? The yearly contest is based on beauty, knowledge...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom