Style nzuri ila sasa mi mvivu kweli wa kusuka.
Nimependa kadhaa hapo.
Hivi kipilipili kina style???!!!
Haha. Kipilipili lazima usuke.
Sasa we una manage vipi bila kusuka??????
Namba 8 ni NOOOOOO. Kisa cha kuingia kichaa nikichana?
Huyo atakua kaweka mirija si unaijua style ya mirija inavyofanya nywele
huwa yananuka manywele ya mademu wa kibongo..!
Nimejikuta nimenasa kwenye hii picha, nadhani nywele zake si mchezo.....!!! Zinavutia kweli kweli
Mwaya sio mirija. Hii ni natural. Kichaa pale pale. Cheki hizo ends ----mae. Nafyeka zote.
Mie napenda hiyo ya rihanna na halle berry natamaniii nikate hadi ziwe size hiyo ila mekatazwa lol..
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Watudanganya,umependa hayo macho