Hakuna haja ya utafiti ni jambo lililo wazi sasa kwamba biashara ya urembo kwa wanawake imepanuka sana kufuatia uhaba wa wanaume.
Wanawake wamekuwa wafuasi wazuri wa makorokocho kwenye miili yao...
Binafsi huwa navutiwa na vitu vingi sana.., infact kwa wale wanaofikiri kujifunika kichwa ili nywele zisionekane ni kuzuia uzuri wako usionekane mnajidanganya, tena hapo mi ndio huwa navutiwa...
Hi
Wadau naomba kuuliza vigezo vya uzuri au urembo ni vipi na watu wametumia misingi ,taswira na mtazamo upi kuweza kuoanisha uzuri wa mtu.
Facts with no leakage ndo hoja reasonable
reality
Baada ya masaibu ya kujitakia urembo bandia, Urach hawezi tena kutembea kwani kwa sasa anatumia kiti cha magurudumu
Mwanamke aliyemaliza katika nafasi ya pili ya mashindano ya urembo amesema...
Happy New Year 2015....
Smart African Designs inapenda kukuletea fulana, magauni na mashati mazuri ya kiAfrica kwa bei poa.
Dial/Whatsapp (Tuwasiliane): 0786 527572
Tupo Lumumba Karibu na CRDB...
Wakina mama na wakina Dada wameanzisha mipango mipya ya kuvimbisha maziwa ,wengine wakiyapiga sindano yawe magumu, imefikia hata wenye haki yaani watoto wao unyimwa na kupewa chupa huku...
o
Huwezi kuepuka matangazo ya mauzo kila utembeapo katika Mji wa Seoul,utapata wito wa kukutaka ubadilishe umbo kwa njia ya upasuaji wa kuongeza urembo bandia.
Katika mtaa wa ukwasi wa...
Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi (kulia) akibadilishana mawazo na Rais Jakaya Kikwete IKULU Leo Jijini Dar es Salaam alipomtembelea na kujadili mambo mbalimbali.
Rais Jakaya Kikwete...
Sijui walitumia gundi ya aina gani
kumbandikia kucha mwanangu, mpaka sasa sielewi, mtoto mwenyewe ndiyo huyo huyo mmoja wa kike niliyekuwa nikimtegemea na ndiyo kwanza ndoa yake bado change...
Wanajamvi naomba tuendeshe mjadala wa mavazi kwa nchi za Afrika Mashariki.
Je, wanawake wana haki kuhusu mavazi yao, na vipi kuhusu wanaume kuvaa mavazi yao?
Naomba kuwasilisha.
Habari zenu wenyeji wa jukwaa hili.
Mavazi ya wanawake yamekuwa na mitindo inayobadilika kwa kwa kasi kama mabadiliko ya sayansi na teknolojia.
Leo naomba kujua jambo moja ambalo huwa...
Mmoja wa hao warembo ni huyu hapa chini anayeitwa Damaris Lewis kutoka Brooklyn New York. Ni mwanamitindo anayesifika sana.
Halafu kuna huyu anayeitwa Arleni Sosa Pena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.