Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Ila huyo mtu aliyevumbua make-up…..sijui hata nisemeje aisee! Hivi inawezekanaje mtu huyo huyo awe na mionekano miwili tofauti kabisa? Does make-up somehow someway cause optical illusions?
1 Reactions
7 Replies
679 Views
Kaunda suite ,bugaluu , sasa siku hizi naona watu wapo wapo tu ,hata usipoweka kiraka inaonekana ni mtindo. Mishono imebaki kwa kina dada tu ,labda na wale jamaa kutoka nyanda za juu,
0 Reactions
1 Replies
266 Views
Wale watu wa perfume uwa tuna code zetu tunapasiana. Mimi nimekwama kidogo so natafuta perfect ya isizidi 50K ya kiume inayonukia kishefa. Ukinitajia jina na location ya kuipata nitafurahi...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala.. Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani...
31 Reactions
647 Replies
145K Views
Jamani ya bidi kuwa makini maana kwa sasa wanaume na wavulana wengi wanapaka na kujipuriza lotion na perfume za kike bila aibu mitaani akipita kama hujamwangalia utahisi kuwa ni mwanamke kumbe...
1 Reactions
30 Replies
7K Views
Habari wakuu, Kama heading inavyoeleza hapo juu, nataka kufanya research binafsi ili nione kama kuna kipya katika matumizi na gharama zetu katika maisha yetu ya kila siku, Nikisema kipya ni kujua...
8 Reactions
80 Replies
4K Views
Wakuu mimi binafsi natumia colget Advanced whitening kina ujazo wa 75mil si nyingi ila bei yake ni Tsh. 4,500 hii nzuri sana watoto wa Arusha utawakamata sana si unajua yale meno yao. Je wewe...
9 Reactions
162 Replies
146K Views
Hivi vitu vya fasheni uwa navichukulia poa, kumbe mi bado sana. Pochi ndogo sana hizi tena pair moja, ila bei CIF + TRA ya gari. Mimi kununua mkanda Million 2.6 dah bado sana. Je, sunglasses...
8 Reactions
10 Replies
1K Views
Oneni huyu kaka[emoji1313]Hivi mwanaume unavaaje vikaptula vya aina hii?Hii ni aibu kwa taifa wanaume wa dar hapa mlipofika sasa mnataka kufanana na sisi dada zenu au[emoji1313]ndo uvaaji gani huu...
19 Reactions
145 Replies
26K Views
JF inaenda viwango vingine vya kimataifa zaidi.. Tunajiribu kupanua wigo wa mijadala na kazi za ubunifu za maonesho mbali mbali za wabunifu kwenye nyanja zote ambao ni maarufu duniani Kwa...
1 Reactions
49 Replies
1K Views
Habari Wana jf naitaji mtu au Duka wanalo uza vifaa vya saloon ya kike mbeya kwa bei nafuu kabisa, asante
1 Reactions
0 Replies
425 Views
Hivi karibu msanii Doja Cat amezua gumzo kwenye mitandao mara baada ya kuoiga picha ambazo zitatumika kwenye maonyesho ya mavazi pamoja na majarida ya fashion. Kwa mtazamo wako mdau, je hii ni...
4 Reactions
11 Replies
775 Views
1.KUOGA Usafi ni passion yangu toka nikiwa mdogo,japo mama yangu pia alichangia kuniongezea mbinu za usafi. Kabla sijaoga mie huandaa nguo za kuvaa,kuanzia chupi,suruali,shati,soksi,viatu na leso...
11 Reactions
118 Replies
4K Views
Naomba kujua ni sehemu gani ninaweza kupata haya mafuta kwa mkoa wa Dar es Salaam, maana nimejaribu kuzunguka kwenye baadhi ya maduka nimeyakosa. 1) Vetiver oil 2) Sandalwood oil 3) Spikenard...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Nini kinapelekea kunguni kuwepo kwenye saluni za warembo, ina maana ni wazembe na wachafu?
6 Reactions
50 Replies
2K Views
Naomba mnijuze ni aina gani ya cream ni nzuri, kwa maana ya kutokuchubua pia yenye sifa za TFDA, inayomfanya mtu kuwa na very clear skin bila chunusi wala harara huku ikimaintain natural color...
0 Reactions
124 Replies
68K Views
Ukiwaona wanawake wanaovaa kama hivi, huwa unawachukuliaje akilini mwako?? Dar Joto Sana.
15 Reactions
70 Replies
5K Views
Kwa wale wanaume tunaopenda kuwa smart, nashauri tutumie hizi package zitakuweka smart sana bila kujali unafanya kazi gani na eneo gani. Dove Gel Body Wash Hakikisha ni Secret, ujue pia...
49 Reactions
359 Replies
14K Views
Vipi kuna mtu ameshawahi kutumia hii bidhaa kwa ajili ya kusaidia uotaji wa nywele. Kwa watu Wenye vipara au kupungua kwa nywele. Binafsi sina kipara but naona kwenye angle moja ya kushoto...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…