Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wengi tunadhani tutakumbuka tarehe za Kuku wetu chanjo kichwani,lakini sio kweli , Kama Young Lunya alivyosema "Kichwa kina vitu vingi" Ukweli mchungu ni kwamba unaweza kusahau kuwapa kuku wako...
4 Reactions
36 Replies
932 Views
Ni pamp inayo faa kwa kilimo na ufugaji wa samaki kwani ina uwezo wa kuvuta maji kwa kiwango kikubwa hadi lita 800 kwa dakika . Namb 0657 139511/0768092950
3 Reactions
77 Replies
16K Views
Mpendwa mwana JF, unaweza kushangaa kusikia kuwa mbwa ni biashara nzuri kupita hata kufuga ng'ombe kibiashara na ukashangaa. Uzi huu utakuwa ni maalum katika kupeana uzoefu katika biashara hii ya...
16 Reactions
809 Replies
170K Views
Wakulima na wapenda bustani, kama ulikuwa unasubiri nafasi ya kuanza kilimo kwa gharama ndogo na faida ya haraka, hii ndiyo fursa yako. Ninauza miche bora, inayokua haraka, yenye afya, na...
2 Reactions
5 Replies
371 Views
Salaam kwenu Bila shaka Mwenyenzi Mungu anawajalia kila lililo jema Natarajia kuanzisha mradi wangu wa kutengeneza na kuuza MAJANI ya malisho ya mifugo (ngombe, mbuzi, kondoo......). Kwa...
0 Reactions
3 Replies
217 Views
Super Market za local products/ ushirika. Kuna idea moja huwa naiwaza sana na inawezeka a ila shida kuu nchi imejaa watu wajinga ambao muda wote tunawaza negative tu, yaani hatuwazi wala kuhofia...
11 Reactions
18 Replies
1K Views
Serikali imetangaza kuwepo kwa ukame katika baadhi ya mikoa nchini. Hata hivyo, licha ya taarifa hizi za kitaifa, viongozi wa Wilaya ya Missenyi wamepuuza uhalisia uliopo katika Mkoa wa...
2 Reactions
16 Replies
464 Views
Wanajanvi Salaam, Ni matumaini yangu wanajanvi mko wazima na mnaendelea na harakati za upambanaji wa kutafuta mkate wa familia. Napenda kuleta mlejesho wangu kuhusu safari yangu ya kwenda Mpanda...
58 Reactions
503 Replies
76K Views
Kama wewe ndo umemaliza chuo au mwaka kesho unataka kuanza ufugaji wa Kuku Kwa urahisi,hii ni kwa ajili yako Kama unataka kuanza Kufuga kuku kwa urahisi,bila kuhangaika kujua pa kuanzia, bila...
3 Reactions
4 Replies
395 Views
Mwezi wa 12 ni zaidi ya sherehe na mapumziko. Kwa mkulima na mfugaji mwenye maono, huu ni mwezi wa kufanya maandalizi muhimu kabla ya kufunga mwaka na kuweka msingi imara wa mafanikio ya msimu...
1 Reactions
2 Replies
213 Views
MASHINE YA KUKATIA NYASI NA MASHINE YA KUPALILIA MASHAMBA | BRUSH CUTTER MACHINE Call/Text/WhatsApp: +255 762 212623 Bei za hii BRUSH CUTTER MACHINE. 📌FOUR STROKE Kubwa: 700,000Tsh - Ya mgongoni...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Tulipoanza kutengeneza Fuga App, hatukutaka kubahatisha kile wafugaji wanahitaji. Ndiyo maana ndani ya app tumeweka kitu rahisi sana. Kama kitu kinakusaidia, tuambie. Kama kuna sehemu...
0 Reactions
0 Replies
121 Views
Usiku wa kuamkia leo siafu wamevamia shambani kwangu na kuua vifaranga vya wiki tatu 56 na vya miezi miwili na nusu 31 vilivyokuwa kwenye banda maalum la kukuzia Kwa wenye uzoefu nifanye nini...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Tofauti ni mbinu tu, si muujiza! Wakulima wengi wa mpunga hapa Tanzania huvuna gunia chache sana kwa ekari – na kwa bahati mbaya, wengi huamini kuwa hilo ni jambo la kawaida. Lakini je, unajua...
1 Reactions
43 Replies
3K Views
Anza Wiki Kwa Ushindi Ukiwa na Fuga App unaweza kusimamia Shamba lako la kuku kwa urahisi,utapata Ratiba ya Chakula ya Kila siku kulingana na umri , idadi na aina ya Kuku Calculator...
0 Reactions
0 Replies
281 Views
Kauli kama hiyo inaonyesha mtazamo wa utawala wa mabavu badala ya utawala wa sheria na haki. Huu ni mtazamo wa hofu, ukandamizaji, na ukosefu wa majadiliano ya kidemokrasia. Tuchambue kwa kina: 1...
0 Reactions
0 Replies
157 Views
Wafugaji wamekuwa wakituomba sehemu moja ya kujifunza mambo muhimu ya ufugaji wa kukuna hatimaye imefika! JIFUNZE ni kipengele kipya ndani ya Fuga App kinachokupa maarifa ya uhakika kuhusu...
2 Reactions
3 Replies
341 Views
Habari zenu wajameni, Nahitaji msaada kujua aina ya miti inayokua kwa muda mfupi, yenye kivuli kizuri na show nzuri. Iwe environmental friendly, Yasiwemakazi ya wadudu. nmekua curious...
5 Reactions
131 Replies
50K Views
Wakuu ninauliza kama kuna yeyote anaifahamu kampuni au mtu anayetoa huduma ya kuuza vitu ambavyo vinekwisha tengenezwa ili viweze kuchanganywa kwenye vyakula vya mifugo.Vitu ambavyo ninavihitaji...
3 Reactions
17 Replies
886 Views
MASHINE YA MAYAI 30 IPO KWENYE OFFER KILA MTU APATE BEI NI 150,000/=TSH. ZIPO PC 100 TU. KARIBUNI TUPO DAR ES SALAAM TEGETA KWA NDEVU DARAJANI NJIA YA KWENDA JESHINI. WATEJA WA MIKOANI...
1 Reactions
1 Replies
555 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…