..Kenya wameanza kuachana na Minazi ya kienyeji East African Tall.
..wamekuja na minazi ya kisasa, mifupi, toka India ambayo ina uzalishaji mkubwa.
..Kuna umuhimu wa Tanzania kutafuta mbegu...
“Nilikuwa nafuga, lakini kuna vitu vya ziada nimejifunza — hasa tofauti kati ya kufuga nguruwe kwa ajili ya nyama 🥩 na kufuga kwa ajili ya uzalishaji 🐖📈.
Hilo limenifurahisha sana na nitaenda...
Habari za majukumu wakuu
Naomba kufahamu usafiri wa kusafirisha mbuzi kutoka minada hii simiyu ...kondoa ....na kilosa je nitapata ya jumuia au itanilazimu kuwa na usafiri binafsi?
Tanzania mpaka sasahv kupitia mikoa ya Njombe, Iringa, Mbeya na Kagera kuna jumla ya Viwanda 12 vya kuchakata mafuta ya Parachichi
Ila serikali kupitia wizara ya kilimo na COPRA wameshindwa...
Habarini wadau
Je kuku wakubwa km jogoo au koounaweza kumpa change zote na kweli ikawa tiba ama kinga kwa Magonjwa.
Maana nina mpango wa kununua makoo mengi ili niwafanye kwa ajili ya kuuza...
Ni takribani miaka 8 tangu niliponunua pori lenye ukubwa wa ekari 10 katika kijiji cha Nnyengedi mkoa wa Mtwara na kuligeuza kuwa Shamba la Mikorosho.
Shamba ambalo halipo mbali sana na barabara...
Watu wengi wanatamani kufuga samaki lakini wanakosa taarifa sahihi juu ya namna bora ya kufuga samaki, moja kati ya vitu muhimu kwenye ufugaji wa samaki ni kuwa na mbegu bora ya samaki, nikisema...
Wakuu naomba msaada kwa yeyote anaefanya kazi TAHA au mtu au kikundi ambacho ni mwanachama wa TAHA Tanzania, nataka kujiunga na hii taasisi nikiwa na lengo la kubase on long term agriculture yaani...
Habari wakuu,
Hembu wazoefu wa kilimo,nipeni ushauri huu.
Kwanza angalizo la mwazo:-
Miti hiyo ni kama decoration,badala ya kuwa na mauwa kwenye Nyumba,nimeamua iwe ni Royal Fruits House of my...
Cha kwanza ambacho nataka kujua ni kuhusu ujenzi wa banda. Nahitaji banda ambalo kukubwatajua wanaishi humo mchana na usiku, lenye usalama ambalo halitavunjwa kiurahisi na wanyama kama fisi au...
Habari wa ndugu,
Napenda kupata maarifa zaidi kwenye ulimaji wa minazi, hasa kibiashara.
1. Wapi napata mbegu nzuri za kisasa
2. Utayarishaji shamba?
3. Muda gani wa kupanda, na namna gani nzuri...
Mkoani Geita, wakulima tunanyanyasika sana, katika suala la kuuza mazao (mahindi ), kwa sasa vipimo vinavyotumiwa na walanguzi ni gunia na ndoo ambazo hazina uhalisia ukizingatia ukubwa wa gunia...
Habari zenu wakuu
Ninaomba msaada wenu. Ningependa kujua Bei ya sasa ya viazi mviringo Obama na Sangita shamba katika eneo la Njombe.
Je, bei kwa mkulima shambani
Bei kwa gunia (100kg) ni kiasi...
Halmashauri ya Kilosa kuchukua Sh 2,000 kwa kila gunia la mpunga kwa Wakulima wa mpunga katika Kata ya KIMAMBA A na KIMAMBA B Wilayani KILOSA mkoani MOROGORO, ni maumivu makali kwetu kwa kuwa ni...
FUNYUKI Ni ufupisho wa neno FUga NYUki KIbiashara, mradi huu unaotekelezwa na kampuni ya TANZANIA INTERNATIONAL BEE yenye makao yake Dar es salaam ni mradi mkubwa wenye subtitle ya "The beekeeping...
Habari ,natafuta kijana mwenye elimu na uzoefu wa kilimo na ufugaji anaeishi Mkoa wa Kilimanjaro,,Shamba lipo Makanya Wilaya ya Same ,Shamba tumechimba maji na kuna kilimo cha mkonge kinaendelea...
1.Kuku wa nyama (broilers) ni GMO🧬 au wamechomwa homoni!💉:
Wengi wanadhani kuku wa nyama (Broiler) wametengenezwa maabara au wanachomwa hormone zinazowafanya waongezeke uzito ndani ya muda mfupi...
Wakulima waliouza mahindi Hifadhi ya Taifa ya Chakula kanda ya Songea hatujalipwa fedha zetu tangu September 2025 Hadi Sasa kimyaa.
Wakulima wameshindwa kurudi shambani wengine mahindi...
Kwa miongo kadhaa, ndizi Bukoba zimekuwa zaidi ya chakula kwa wakazi wa Mkoa wa Kagera; zimekuwa msingi wa maisha, utamaduni na uchumi wa jamii nzima. Hata hivyo, nyuma ya taswira ya zao hili...