Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Kwa Wale Wanaojaribu kutumia Bidhaa Za Nje Kama Mimi, Watakubali Hili Chukua COCACOLA YETU NA ILE Ya MALAWI Au Tumia CHUMVI YETU na Ile Ya KENYA Ukiona Haitoshi Tafuta Dawa Ya Mswaki Ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
NJIA ZA KUWAANDAA WATOTO WAKO KUJA KUWA WAJASIRIMALI, Wana janvi ni ukweli usiopingika kwamba, SUCCESSIFUL ISGENERTIC, na Njia za kuanza Ujasirimali mara nyingi huanzia mbali sana, Na kwa sisi...
12 Reactions
20 Replies
4K Views
Amani iwe nanyi wapendwa,kume kuwa na kasumba ya wafanyabiashara wengi kuhusisha biashara zao na imani za kichawi ikiaminika watapata wateja wengi au kuzuia biashara zao zisipigwe ndumba.Binafsi...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari wana jamii. Naombeni msaada wenu wapi naweza kupata mashine ya kufyatua matofali ya bambam imara na kwabei nafuu? Nipo Dar es salaam.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
unaitajika mtaji kuanzai m5 na kuendelea kwaajili ya kufany kazi ya kujenga ma calvat chini ya kampuni ya nicode enterprises company LTD,kutakuwa na cotract kati yako na company,term ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hi Bandugu, kutokana na hali ilivyo ya ajira kutoeleweka najaribu kufikiria cha kufanya kujikimu kimaisha sipati jibu, eti kwa mfano una shilingi milioni moja hapo unaweza anzia biashara gani?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ili kusajili kampuni yako kwa muda mfupi bila usumbufu, wasiliana na RMJ & CO.LTD kupitia 0714784154 au 0753784154
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Heshima kwenu wadau, Naomba mwenye template ya partneship deed ambayo ni soft copy anisaidie. Natanguliza shukrani za dhati.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kampuni ya Juwawa Tanzania Company inayojihusisha na shughuli za kilimo na ufugaji inatafuta wataalamu wa ubunifu wa kutengeneza logo itakayokuwa inatumiwa katika shughuli mbalimbali. NAFASI iko...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanajamvi nataka nianzishe kampuni ya kusaidia wanasiasa (politics lab)..kazi yake itakua ni kutrain,kupromote vipaji vya wanasiasa ambao wanaonekana wana uwezo tofauti na ilivyo sasa wapo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wana jf naomba mwenye kufahamu taratibu za kusajiri kampuni ya ulinzi,pamoja nanamna ya kupatakibali kutoka polisi.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wakuu hv ni kwa nn asilimia kubwa ya wauza chipsi ni wababa nimepita sehemu nyingi za mijini cjaona wakina dada wakifanya hii biashara
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamanee, uandishi wa kitabu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Heri ya mwaka mpya! Kwa anayefahamu, ni kiasi cha pesa kinahitajika kulibadilisha land rover defender or toyota hardtop la kawaida kuwa la kitalii (kuweka viti na kufunguka juu)?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana JF, Mimi ni graduate,kutokana na tatizo la ajira Tz nimeamua kuanzisha micro-finance company kwaajili ya kutoa mikopo kwa wajasiriamali wadogo amboyo tayari nimeshairegister na...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Naomba mwenye uelewa juu ya hii biashara nina mtaji wa kutosha na wilaya ninayokaa hamna huduma hii ya internate cafe so ningependa kuifanya Naomba mwenye uelewa nayo anielekeze jinsi ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwanza naomba niwashukuru sana wana JF kwa kutoa mawazo yanayojenga pindi mtu anapokuwa anahitaji msaada huo,binafsi naomba kufahamu juu ghali ya soko la alizeti ndani ya nchi,ni kipi chenye soko...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Bata mzinga kwa wajasiriamali nawashauri kufuga bata mzinga na bata bukini kwa wingi kwani wanamnufaisha sana mjasiriamali ikiwa ni nyama mayai ulinzi wa nyumbani na pia nipambo zuri sana
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu nipo Mbeya mjini,kuna mtu wangu wa karibu anahitaji kuuza vocha za simu kwa bei ya jumla ila anashindwa kujua wapi atazipata.Amekwenda ofisi za Voda,Airtel na Tigo hapa Mbeya mjini lakini...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Habari wanabodi. Nimekuwa na wazo la kufungua kampuni ya ICT & Electrical Co., kwa muda mrefu sana. Leo nimeona nilileta kwenu ili tuweze kushauriana... Ninahitaji partners wawili (2), kwa ajili...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…