Fidelis big
Senior Member
- Aug 31, 2011
- 114
- 34
Habari wana JF,
Mimi ni graduate,kutokana na tatizo la ajira Tz nimeamua kuanzisha micro-finance company kwaajili ya kutoa mikopo kwa wajasiriamali wadogo amboyo tayari nimeshairegister na nimeshapata location ya office na baadhi ya vitendea kazi nimeshanunua kilchobaki ni leseni ya biashara ambayo muda simrefu nitakabidhiwa baada ya kukamilisha process za kufile estimate of income kwaajili ya taxation.
Kubwa lililonileta kwenye hili jukwaa ni kupata ushauri jinsi ya kupata funds kwaajili ya kuendesha mradi wangu;
Nilikuwa na mategemeo ya kupata starting capital kutoka NMB ila baadhi ya masharti yao yamenikwamisha kama financial statement na ni biz mpya pamoja na collateral,mimi nina kiwanja chenye title na thamani zaidi ya 10mil. ambacho ndo kilikuwa tegemeo langu la kupata starting funds ila jamaa wameniambia hawachukui hati ya kiwanja ambocho hakijajengwa. Je kuna bank wanakubali kuchukua hati ya kiwanja kama collateral? NB. nina current account nmb zaidi ya miaka minne na statement yake ni yakuungaunga japo siyo mbaya
Pia nilikuwa na mpango wa kurise funds kwa kuuza baadhi ya share kwa watakao kuwa tayari, na nilweka malengo malengo yakupokea deposits kwa interest kutoka kwa watu wenye surplus na wafanyabiashara wa misimu na kukopesha vikundi vya watu watanowatano ambayo pia ingeniongezea mtaji na wigo wa kukopesha watu wengi zaidi.
Kwa wadau wanaoweza kunisaidia ushauri jinsi ya kupata starting funds kwa haraka coz nimeshalipa rent ya office nainaenda bure tu nawakaribisha kwa mawazo mbalimbali.
Nitatoa maelezo zaidi kwa atakaeitaji, hapo nimeweka kwaufupi tu, PM inaruhusiwa kwa confidentiality.
Thanks in advance!
Mimi ni graduate,kutokana na tatizo la ajira Tz nimeamua kuanzisha micro-finance company kwaajili ya kutoa mikopo kwa wajasiriamali wadogo amboyo tayari nimeshairegister na nimeshapata location ya office na baadhi ya vitendea kazi nimeshanunua kilchobaki ni leseni ya biashara ambayo muda simrefu nitakabidhiwa baada ya kukamilisha process za kufile estimate of income kwaajili ya taxation.
Kubwa lililonileta kwenye hili jukwaa ni kupata ushauri jinsi ya kupata funds kwaajili ya kuendesha mradi wangu;
Nilikuwa na mategemeo ya kupata starting capital kutoka NMB ila baadhi ya masharti yao yamenikwamisha kama financial statement na ni biz mpya pamoja na collateral,mimi nina kiwanja chenye title na thamani zaidi ya 10mil. ambacho ndo kilikuwa tegemeo langu la kupata starting funds ila jamaa wameniambia hawachukui hati ya kiwanja ambocho hakijajengwa. Je kuna bank wanakubali kuchukua hati ya kiwanja kama collateral? NB. nina current account nmb zaidi ya miaka minne na statement yake ni yakuungaunga japo siyo mbaya
Pia nilikuwa na mpango wa kurise funds kwa kuuza baadhi ya share kwa watakao kuwa tayari, na nilweka malengo malengo yakupokea deposits kwa interest kutoka kwa watu wenye surplus na wafanyabiashara wa misimu na kukopesha vikundi vya watu watanowatano ambayo pia ingeniongezea mtaji na wigo wa kukopesha watu wengi zaidi.
Kwa wadau wanaoweza kunisaidia ushauri jinsi ya kupata starting funds kwa haraka coz nimeshalipa rent ya office nainaenda bure tu nawakaribisha kwa mawazo mbalimbali.
Nitatoa maelezo zaidi kwa atakaeitaji, hapo nimeweka kwaufupi tu, PM inaruhusiwa kwa confidentiality.
Thanks in advance!