Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

wana jamvi nisaidieni jamani, niko very serious nataka mkopo nijenge nyumba. ninayosite but haijapimwa ila natamani kweli kujenga kajumba kadogo kazuri. cash on hand sina na sina kitu cha kuweka...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Nataka kufungua stationery,mwenye kufahamu wapi (dar) naweza kupata stationery items kwa bei ya jumla naomba anijulishe pls
0 Reactions
2 Replies
2K Views
In reality, there is a greater risk in sticking to a job than in minding your own business or putting money in investments.A job can easily be taken away from you anytime. Yes, you can always...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Ninataka kuwa wakala wa coka je kianzio unatakiwa uwe na kreti ngapi? Na yale makontena wanayotumia yenye nembo ya kampuni wanapewa bure au wananunua?na vipi bei ya kununulia maana ya kuuzia ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wengine wanasema hawa kuku ni wa kisasa ila wengine wakienyeji na vp sokoni wanatambulika kama wakienyej au kisasa na vp bei yake dar.Naomba mchango wenu wana Jf
0 Reactions
22 Replies
14K Views
Wadau habari!naingia jamvini ili kuweza kuomba msaada na ushauri juu ya soko la mayai mkoani Morogoro,lengo langu kubwa ni kutaka kujihusisha na usambazaji wa mayai hayo (ya kuku wa kisasa) katika...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wakuu nawasalimu, ama baada ya salam naomba mnisaidie kujua procedures za kuanzisha charity organisation kwa hapa kwetu Tz.Natanguliza shukrani!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari, mimi mgeni hapa natumai mtanikaribisha vizuri! Nataka kujua bei ya kununua dengu na maharagwe nikihaitaji kwa uwingi mfano tani 30 ya maharagwe nitaipataje ki urahisi? Mashambani au...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
nataka kuchukua mkopo waungwana kwa ajili ya biashara. je ni bank gan yenye makato na masharti nafuu.?msaada plz
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hello JF Members, ninataka kununua mashine za kusaga na kukoboa nafaka zinazotumia umeme, pamoja na mashine ya kushona mifuko(vigunia) ya nafaka. Naomba yeyote anaejua wapi naweza pata mashine...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
waungwana nataka kuchua mkopo kwa ajili ya biashara.! je ni bank gani yenye makato na masharti nafuu. msaada plz
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari Ndugu. Aramex Tanzania, inafuraha na heshima kuanzisha huduma mpya iitwayo Shop na Ship (SNS). Ukiwa kama mwanachama wa SNS, utapata Sanduku (Mailbox) Marekani, Uingereza na China, hii ni...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari zenu wana JF, ninaomba msaada mwenye kujua kuhusu biashara ya chips yaani kibanda cha chips kwa hapa dar. Mtaji ni kiasi gani?na faida yake? Na ushauri wowote katika ili.nitashukuru.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ninaomba tips juu ya kuendesha mradi wa kuku wa mayai.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Mention businesses which use capital and labour without involving land
0 Reactions
0 Replies
1K Views
I am working with an American company, currently expanding in Dar es salaam, Arusha, Mwanza, Mbeya and we are looking for open positively minded people, interested in business that would like to...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Wajasiriamali naombeni ushauri kwenye kunishauri aina ya biashara ya mtaji mdogo wa tsh laki 2. Mtendaji ni mama mtoto wangu.yuko flexible kiasi anaweza kufanya biashara za aina tofauti. Mkoa ni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuuni ukweli usio pingika kwa mba hali za kiuchumi ni ngumu sana, na vilevileukizingatia kwamba tuko kwenye Dunia ya Utandawazi ambao tunaambiwa Dunia nikijiji, na na Ukijumulisha na...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Wakuu habari zenu,naomba mwenye kujua mahala nairobi ambapo naweza pata bidhaa za electronics original kwa bei nafuu kama vile simu,external hardisk,flash,memory cards etc.ni ya biashara.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wana JF,ningependa ku share ideas na watu wenye uzoefu na biashara, katika biashara kikubwa kinachoangaliwa ni faida , kwa watu wenye uzoefu na biashara mbali mbali nilikua naomba kuuliza...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…