Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Jf salaam Huwa nashangaa sana mtu kuanza kuinadi hii miti ya kisasa akiiponda ya kienyeji (asili). Ukweli ni kwamba miti ya matunda ya asili inazaa sana iwapo itatunzwa kidogo tu! Na daima ni...
8 Reactions
53 Replies
3K Views
Kumekuwa na uwekezaji mkubwa wa ufugaji wa samaki hasa katika Ziwa Victoria. Hili ni jambo la kupongeza sana na mpaka Wachina wamejenga kiwanda cha vyakula vya hawa samaki. Juzi nimepita...
8 Reactions
16 Replies
1K Views
Ni kwa namna gani Hawa Wawekezaji wa kigeni katika zao la parachichi wameweza kuwa shawishi vijana kuingia katika kilimo hicho?
1 Reactions
5 Replies
643 Views
Naomba kujuzwa kuhusu kilimo Cha kokoa na wataalamu wa kilimo hiki
0 Reactions
3 Replies
559 Views
Mahindi na karanga ni mojawapo ya mazao muhimu ya chakula. Mazao hayo huweza kushambuliwa na fangasi wanaozalisha sumukuvu ambayo huathiri usalama wa chakula. Sumukuvu ni nini? Sumukuvu ni sumu...
5 Reactions
8 Replies
748 Views
Kheri kwenu wapendwa nimeamini kila kitu ni nia na kujituma. Mwezi wa saba nilinunua tetea 30 na jogoo 3 wanaotetea mwezi wa nane nikapata vifaranga 280 na mwezi huu wa tisa 220. Na bado...
60 Reactions
126 Replies
10K Views
Natamani kufuga sangara ila vifaranga vya sangara sijui nitawapatia wapi? yeyote wakunieleza nakaribisha kwa moyo wote. Na kama hakuna anae uza kwanini mtu asianze utafiti na kuzalisha vifaranga...
2 Reactions
56 Replies
2K Views
Nchini Indonesia, mbinu ya kale hutumiwa ambayo inachanganya mashamba ya mpunga na mabwawa ya samaki. Samaki husaidia kudhibiti wadudu kwa kuwala wadudu hao na kuchangia kurutubisha udongo kwa...
1 Reactions
2 Replies
335 Views
Baada ya kumaliza degree yangu ya pili na kuona kuwa ajira kama ajira haiwezi kuwa mkombozi wangu kiuchumi niliamua nifatilie mawazo mbalimbali ya ujasiriamali. Nikafikiria ujasiriamali wa...
76 Reactions
352 Replies
82K Views
Kazi ya tekinolojia ni kutatua changamoto za kijamii,hasa zile zinazokumba shughuri za uzalishaji mali. Najua kuna changamoto umesha wahi kukutana nayo,na ukatamani uwepo wa kifaa flani kutatua...
3 Reactions
9 Replies
607 Views
Kahawa imekuwa zao muhimu la biashara nchini Tanzania kwa zaidi ya karne moja, ikichangia kwa kiwango kikubwa uchumi wa taifa na ustawi wa wakulima wadogo. Hata hivyo, katika miaka ya hivi...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Heri ya mwaka mpya . Leo katika pita pita zangu mitandaoni nilikuwa naangalia mambo ya uvuvi swali langu Kwa wavuvi kwanini wazungu akishika wavu akarusha kwenye mto,ziwa ,bahari...
2 Reactions
5 Replies
642 Views
Kama ambavyo kichwa Cha habari kinaeleza, Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji toka singida singidani Nina deal na Hawa kuku na hakika nmeona ni wastahimilivu sana wa magonjwa endapo wataanza...
5 Reactions
28 Replies
6K Views
Ninaomba msaada mashine yangu ya kutotoleshea vifaaranga vya kuku imezima kwenye controll(cumputer) ghafula ila feni inazunguka nifanyeje
0 Reactions
3 Replies
342 Views
Watu ukiwaeleza unaona kama masihara embu jaribu kulima mbaazi uje ulete mrejesho hapa zao zuri kabisa palizi mara moja unafeli WAPI? OTESHA.
7 Reactions
63 Replies
5K Views
Sekita ya Utalii ni kubwa sana na ni pana sana, ina chain ndefu sana nitataja chache tu; 1. Mawakala wa utalii hawa wako huko ulaya 2. Wasafiridha watalii, kuja Tanzania, hapa kuna ndge 3...
8 Reactions
18 Replies
9K Views
Habari zenu wana jukwaa mimi naomba mwenye experiences na soko la zao la matikiti mwezi saba au wa nane hua liko vipi hasa kwa miji kama Dar Morogoro au Dodoma. Kwa mwenye kujua naomba msaada wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mbowe angefahamu hili suala mapema labda angelima vitunguu swaumu na kujiepusha na hela za Abdul na mama yake. Wakuu tulimeni hata nusu ekari.
13 Reactions
56 Replies
4K Views
Wanakilimo mliobobea naomba mwenye kujua hatua za kilimo hiki na masoko yake au tu anielekeze kinalimwa wapi nitaenda kufuatilia mwenyewe kwa wenyeji. Aksante
2 Reactions
19 Replies
18K Views
Habari wakuu, naombeni uzoefu wenu hasa kwenye sekta hii ya kuku wa mayai. Binafsi nimewahi kufuga kuku wa kienyeji, chotara, na broilers kwa uchache, ila kwa sasa nahitaji kufuga kuku wa mayai...
5 Reactions
35 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…