Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari wakuu, Wapi naweza kupata high quality service ya kuprint stika? Bei ikoje kwa stika moja? Stika ni kwa ajili ya kubandika kwenye madumu ya mafuta ya kula.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wana jf, nimehamia dodoma hiv majuzi,mzoefu wa mapishi ya kila haina ila napendelea sana kuchoma nyama za kuku na ngombe pamoja na kupika kiti moto,dodoma ni mgeni na natamani sana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hamjambo wandugu, Nimejifunza kupamba kumbi za sherehe. Sina uzoefu sana. Kwa sasa napamba kwa gharama ndogo sana ili kupata uzoefu. Kama kuna mtu mwenye uzoefu na kazi hii, naomba kufuatana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MAFUTA YA UBUYU (BAOBAB SEED OIL) Ni mafuta yatokanayo na mbegu ya ubuyu {au kokwa}. Hukamuliwa kiini chake na kutoa mafuta. Utafiti huu umefanywa na Kampuni ya Essential Oil ya Afrika kusini...
7 Reactions
13 Replies
6K Views
ninahitaji vifaranga viwe vya asili, vya kisasa au chotara sivitaki anae fahamu vilipo anifahamishe
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Teach a Man to Fish | Home
0 Reactions
0 Replies
979 Views
Turubai jipya la kuwekea kambi linauzwa kwa sh. 350,000/=. Ni kubwa lenye uwezo wa kulaza watu 5. Linauzwa lenyewe pamoja na begi lake na vifaa vyake vyote vya kulisimamishia. Pia wanauzwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
CoNept Healthy Consultant Chemical free solution to: Asthma, peptic, stomach and duodenum ulcers, diabetes, ovarian cysts/ fibroids, gout, joint pain/inflammations, menstrual cramps, back pain...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndg WanaJF. Nahitaji Msaada Wa Kimawazo Juu Ya Kuanzisha Biashara Ya Mgahawa.
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Habari zenu wa wadau,naulizia bei za incubators,na pia nataka kujua km naweza kutotolea mayai ya kienyeji,pls mwenye ufahamu juu ya ili afunguke,itasaidia sana.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
This is unique opportunity for those who like to learn from winners and successful people in the Network Marketing , John E. FLP Africa Top Distributor is in Dar and tomorrow will give special...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
HABARI WANAJAMVI? Leo napenda kuwashauri kuhusu kutumia cctv n surveilance. cctv and surveilance ni nini? Hii ni system inayounganisha security camers, na dvr ambapo mtu aneweza kuona maeneo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi naomba kujuzwa taratibu za kukopa Katika taasisi zetu za kifedha upoje kwa dhamana ya title deed/hati ya Kiwanja.. 1: Je nahitaji kuwa na business plan ili nikopesheke? 2; Je...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nia yangu ni kujaribu kujiinua kimaisha polepole, kwa anayejua naomba anisaidie 1) ningependa kujua bei ya kifaranga mmoja na wapi wanapatikana wazuri? 2) je ni mda gani mpaka kukua na kuuza...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna rafikiyangu Mkongo anataka kuwa analeta raw gold tanzania ameshapata utaratibu wa wizara ya madini na TRA sasa yeye anahitaji masoko hapa nchi hana mtaji sana anataka wanunuzi serious,na je...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salaam wakuu, Nina shamba Morogoro na ni mara ya kwanza nimeanza kulima seriously. Natarajia mwishoni mwa mwezi wa June 2013 nitavuna mahindi. Kwa mahesabu ya haraka haraka natarajia kuvuna...
0 Reactions
12 Replies
49K Views
Habari wadau! Nimejaribu kufuatilia kuhusiana na kilimo cha mizeituni, naona ni kama hakifanyiki kwa Tanzania, kwa mwenye ufahamu kuhusiana na kilimo hiki na soko lake Tanzania na Afrika Mashariki...
1 Reactions
10 Replies
10K Views
Nina Kheri Kumi Na Tano Za Ardhi Yenye Rutuba Ninamiliki Kupitia Hati Miliki Ya Kimila, Sasa Nataka Kulima Mahindi Na Alizeti, Je Kupitia Hati Miliki Yangu Ya Kimila Naweza Pata Mkopo Bank Yeyote?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi ni mama wa nyumbani nafanya biashara ndogo ndogo sasa kamtaji kangu kamekua kidogo nataka nifanye biashara ya catering services hapa Dar maana ni kitu ambacho nimekuwa nakitamani kukifanya...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…