Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wakuu kulingana na serikali ya Tanzania kutokuwajali wafanyakazi wake nimeamua niache kazi nifanye biashara, sasa nina kiasi tajwa hapo juu nianze na biashara gani nzuri ushauri wako plzz.
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Wadau, salam! Ningependa kujua juu ya soko la iriki. Mwenye taarifa kamili, tafadhal tujuzane.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, nauza majaketi na makoti mazito kwa ajili ya kutumika sehemu zenye baridi kali kwa bei ya kuanzia sh. 20,000/= hadi elfu 70 kwa wale wanaotaraji kwenda sehemu za baridi ama wale waishio...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Wapendwa katika bwana, mimi natarajia kujikomboa kiuchumi kwa kujikita katika ufugaji wa kuku wa kienyeji chotara baada ya kupata mafunzo wengi kutoka kwa wataalam mbalimbali kutoka kwa kubota...
3 Reactions
44 Replies
18K Views
Habari wanajamii wenzangu, Samahani kwa usumbufu ntakaouleta ila muda mwingi nawaza biashara gani ya kufanya na bado naona kichwa kinantesa na nimeona bora niombe msaada wa kujuzwa kuhusu kufuga...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu naomba mwenye taarifa sahihi juu ya mambo kadha tusaidiane hapa.Naomba anaejua yafuatayo atusaidie. 1.Wilaya inayoongoza kwa kulima Nyanya na bei ya nyanya kwa tenga kwenye eneo la...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau habari!nimekuja tena jamvini hapa kuomba ushauri wenu juu ya kujikwamua kiuchumi!nina kimtaji cha shilingi million mbili,bado sijapata wazo la uhakika ni kitu gani hasa nifanye ili niweze...
1 Reactions
20 Replies
12K Views
vipi wa kuu,nawazo na ndoto ya siku nyingi,nataka kufungua vedio studio,iwe in deal na production za video za movie sana sana na documetary, je ni vifaa gani muhimi naitajika kuwa navyo na kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi natengeneza batik nzuri za kuvutia kama vikoi vitambaa vya batik kwa ajili ya kushona vyenye maua na picha mbali mbali.Napokea oda kwa matukio yenye kuhitaji sare za batik kama batik zenye...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Sorry wapendwa, mi sio mtaalam sana wa mambo ya ujasiliamali ila nlikuwa naomba mniambie ujasiliamali unafaida gani na unawezaje kuwa mjasiliamali?????
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wakuu mi npo dar maeneo ya mbezi beach,nna hela ya ziada mil 10 nmeona niangalie fursa tofauti tofauti,nimeona biashara ya bajaji ndo rahisi kwani haitaharibu mda wa chuo masomoni.wakuu hi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu mjasiriamali, nategemea kuanza ufugaji wa ng'ombe wa maziwa na ningeomba wale wote wenye uzoefu waniambie vitu vya lazima vya kuwa navyo au maandalizi: Natarajia kufugia maeneo ya Dar...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama kuna mtu anajua mahali ambapo naweza kupata excavator ya msaada lakini ni kalipia gharama ndogo. Naomba msaada maana bei za laki 8 kwa siku sitaweza. Nataka kuchimba bwawa la samaki maeneo ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna kambi kuu mbili juu ya nadhari la chimbuko la ujasiriamali. Kambi ya kwanza inaamini ujasiriamali ni hali au sifa mtu anazaliwa nazo wakati kambi ya pili inaamini kwamba mtu yeyote anaweza...
3 Reactions
44 Replies
12K Views
Wadau,huku Sa Hv Biashara Nyng Ndo Znachpukia,hasa Za Tv,radio Au Fenicha,so Alo Tayar Tupge Kaz Me Ntakuwa Wakala Wake Huku,me Kikaz Ni Ticha Ila Napenda Ujasiliamali
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Ninauza viwanja vinne vyenye heka 1 kila kimoja kwa sh. milioni 4 tu kwa kila heka. Tafadhali mwenye kuhitaji ani PM.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Jamani nauliizia ni taasisi gani ya fedha inayoweza kunipa mkopo kupitia ardhi ambayo haijapimwa hapa tz
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ushauri wako unahitajika sana hasa kwa wenye uzoefu.nategemea ndani ya muda chini ya mwezi mmoja nifungue biashara ya bucha ya nyama na pia samaki wa maji baridi(sato na sangara wabichi).kama pia...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Mimi ni Mwl Wa sekondari nipo Chalinze,nina Duka dogo la kawaida la nguo na vifaa vingine.Kikubwa kwangu natafuta mtu yeyote ambaye naweza kushirikiana naye kwa makubaliano maalumu kuuza laptops...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom