Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

If u r interested kuwa kibiashara zaidi plz ni-pm
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wanaJF nataka kujiunga na huu mtandao wa biashara katika forever living products. Tueleweshane nini kilichopo ndani kwa wale wajuzi
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Amani iwe kwenu wana jamvi.Lengo ni kuwajuza kuwa kwa mahitaji ya batik za kisasa za mshumaa na kuchovya kwa bei nafuu.Mawasiliano 0717 539573 au email:stanslausd@yahoo.com
0 Reactions
3 Replies
4K Views
WanaJF habari za mishemishe. Naomba nifahamu kuhusu ratiba ya chanjo ya kuku wa mayai tangu kuwa vifaranga hadi mwisho wao. Ikiwezekana naomba nipate rafiki wa karibu wa kunishauri juu ya ufugaji...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Polen kwa kaz wana jamv,nipo hapa tena leo kwa ajil ya kuomba msaada wenu wa kuninyambulshia ama kunipa tofaut kat ya hv, KUKU WAP NI WAZUR NA WANAFAIDA WAKIFUGWA KULIKO WENGNE TUKIANZA NA...
0 Reactions
0 Replies
935 Views
Habari wadau wa jukwaa, I hope Eidd ni njema kwenu. Ningependa kupata information kuhusu kununua vitu (nguo za kike, handbags na accessories) online kutoka UK, China, Finland Nk. kwa jumla. kuna...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Umejifunza kitu ghani kipiya kwenye maonyesho ya nanenane mwaka huu
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nauza documentary ya robert ya rich daddy poor daddy anaehitaji ani pm na kunitumia email yake kwa malipo ya 3000 tu ahsanten sana mungu awe nanyi
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za Leo ndugu wajasiriamali, Kwa uchache naomba niseme kuhusu wimbi la matapeli walioibuka katika Mitandao na kujifanya wao ni Taasisi za Mikopo na Nyingine hufika mbali hadi kujihusha na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wote wasioogopa kufeli katika ndoto zao ndio wale wafanikiwao, na wale wanaopanga vikali juu ya kukwepa hasara au kupunguza hasara za biashara zao ndio wenye mafanikio ambayo hata yawe machache...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wakuu..! Msaada hapo juu ya bei na mahali nitakapoweza kupata vifaranga vya mayai...! Natanguliza shukran..!
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Nisaidiwe bei ya shamba lenye ukubwa wa eka 1 hiv bagamoyo ni ngap
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wakuu nimepata shamba eka 200 huko Kilosa na nimenunua trekta na majembe ya kulimia niko kwenye maandalizi ya kulima matunda na mboga mboga. Nisaidieni mawazo ni matunda au mboga gani nilime...
0 Reactions
29 Replies
13K Views
nimejifunza mengi kuhusu ufugaji wa kuku wa kienyeji humu JF na nimefanikiwa kujenga banda bora na kuanza ufugaji huo.MUNGU AWABARIKI WANA JF WALIONIFANYA KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE KUFIKIA HATUA...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
just visit the link below http://Cashite.com/index.php?referral=274
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu ninauza Kiwanja chenye ukubwa wa heka moja kwa sh. mil 3.8 tu. Kiko Kongowe mwisho Mbagala Km 3 kutoka Barabara ya lami na gari linafika mpaka kwenye kiwanja. Tafadhali mwenye kuhitaji ani PM.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Imani yangu itaniponya..huku kwetu kuna opportunity ya kufungua duka classic la nguo za watoto.i have already study about market saturation.nahitaji msaada kuhusu suppliers wa hizo nguo na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wapendwa wanajamvi mimi pamoja na kwamba natafuta soko la sabuni ya kunawia mikono(liquid hand washing soap) naomba kutoa ushauri kuwa kwakuwa members wa JF tuko wengi basi tusaidiane kwa sisi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habarini wana JF, nimeamua kuanzisha hii thread maalum ili tuweze kupeana INFORMATION za mikoa mbali mbali kwani wana JF wanatoka mikoa tofauti. Mfano nataka kujua aina gani za biashara ni nzuri...
4 Reactions
11 Replies
8K Views
Habarini wana jamvi wote , Mimi nafikiria kuanzisha biashara ya kutengeneza na kuuza mabonge ya barafu. Naomba kufahamishwa wapi nitapata ice cubing machine na kwa bei gani, au pia kama...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Back
Top Bottom