Amani iwe kwenu wana jamvi.Lengo ni kuwajuza kuwa kwa mahitaji ya batik za kisasa za mshumaa na kuchovya kwa bei nafuu.Mawasiliano 0717 539573 au email:stanslausd@yahoo.com
WanaJF habari za mishemishe.
Naomba nifahamu kuhusu ratiba ya chanjo ya kuku wa mayai tangu kuwa vifaranga hadi mwisho wao.
Ikiwezekana naomba nipate rafiki wa karibu wa kunishauri juu ya ufugaji...
Polen kwa kaz wana jamv,nipo hapa tena leo kwa ajil ya kuomba msaada wenu wa kuninyambulshia ama kunipa tofaut kat ya hv,
KUKU WAP NI WAZUR NA WANAFAIDA WAKIFUGWA KULIKO WENGNE TUKIANZA NA...
Habari wadau wa jukwaa,
I hope Eidd ni njema kwenu. Ningependa kupata information kuhusu kununua vitu (nguo za kike, handbags na accessories) online kutoka UK, China, Finland Nk. kwa jumla. kuna...
Habari za Leo ndugu wajasiriamali, Kwa uchache naomba niseme kuhusu wimbi la matapeli walioibuka katika Mitandao na kujifanya wao ni Taasisi za Mikopo na Nyingine hufika mbali hadi kujihusha na...
Wote wasioogopa kufeli katika ndoto zao ndio wale wafanikiwao, na wale wanaopanga vikali juu ya kukwepa hasara au kupunguza hasara za biashara zao ndio wenye mafanikio ambayo hata yawe machache...
Wakuu nimepata shamba eka 200 huko Kilosa na nimenunua trekta na majembe ya kulimia niko kwenye maandalizi ya kulima matunda na mboga mboga.
Nisaidieni mawazo ni matunda au mboga gani nilime...
nimejifunza mengi kuhusu ufugaji wa kuku wa kienyeji humu JF na nimefanikiwa kujenga banda bora na kuanza ufugaji huo.MUNGU AWABARIKI WANA JF WALIONIFANYA KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE KUFIKIA HATUA...
Wakuu ninauza Kiwanja chenye ukubwa wa heka moja kwa sh. mil 3.8 tu. Kiko Kongowe mwisho Mbagala Km 3 kutoka Barabara ya lami na gari linafika mpaka kwenye kiwanja. Tafadhali mwenye kuhitaji ani PM.
Imani yangu itaniponya..huku kwetu kuna opportunity ya kufungua duka classic la nguo za watoto.i have already study about market saturation.nahitaji msaada kuhusu suppliers wa hizo nguo na...
Wapendwa wanajamvi mimi pamoja na kwamba natafuta soko la sabuni ya kunawia mikono(liquid hand washing soap) naomba kutoa ushauri kuwa kwakuwa members wa JF tuko wengi basi tusaidiane kwa sisi...
habarini wana JF, nimeamua kuanzisha hii thread maalum ili tuweze kupeana INFORMATION za mikoa mbali mbali kwani wana JF wanatoka mikoa tofauti. Mfano nataka kujua aina gani za biashara ni nzuri...
Habarini wana jamvi wote , Mimi nafikiria kuanzisha biashara ya kutengeneza na kuuza mabonge ya barafu. Naomba kufahamishwa wapi nitapata ice cubing machine na kwa bei gani, au pia kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.