Kwema wakuu naomba kupewa ujuzi wa kuandaa party event kwa mfano kumkodi msanii kwa ajili ya show ningeomba kupewa mchanganuo mzuri kuanzia kukodi ukumbi mpaka navoweza kupata faida thanks in advance
Inategemea mahali ulipo, gharama za ukumbi, mwamko wa watu kulingana na event yako ili uweze kuweka makadirio, gharama ya kumlipa huyo msanii, matangazo, kibali na vitu vingine nilivyovisahau.
Inategemea mahali ulipo, gharama za ukumbi, mwamko wa watu kulingana na event yako ili uweze kuweka makadirio, gharama ya kumlipa huyo msanii, matangazo, kibali na vitu vingine nilivyovisahau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.