Nimeipata hii kitu kumuhusu huyu founder wa facebook Marck Zuckerberg jinsi alivyoanza facebook na mpaka kuja kuwa multi-billionaire. Fungua hii link na ujisomee mwenyewe. inaweza badili fikra...
Contacts:
+255 785 365285
A Home Business Where Real People Make Real Money
Ever thought of the simplest and the most definite way to achieve FINANCIAL SUCCESS?
If your answer is NO, then you...
Dears wajasiliamali naomba kuuliza kuna mtu humu analima kilimo cha greenhouse...faida zake...hasara je?
Please n please naomba kueleweshwa vizuriii kabisa na gharama zake za kufunga na kila...
Wadau,
Nahitaji kupata bamboo /mianzi ambayo imekomaa na eidha imekauka ama bado (ikiwa haijavunwa pia). Naomba kwa yeyote anayefahamu inapopatikana ama kama ni mkulima anijuze.
Wapendwa wangu mimi ni mjasiriamali,natengeneza mashati ya vitenge, bazee, na batic. Kiu yangu kubwa ni kuhakikisha vazi hili la Africa linatamba.
Naomba ushauri wenu. Nataka niwe najumlisha...
Kulingana na kichwa hapo juu.Kwa kifupi nina shamba lenye ukubwa wa ekari sita, shamba hilo limezungukwa na maji ya mto usiokauka kwa vipindi vyote vya mwaka. Eneo hilo hulimwa mbogamboga au...
Habari zenu!
Jamani mimi nina business idea, ambayo tayari nina kila kitu upande wa paperworks na marketing strategies, kwa maana kwamba nina uhakika kampuni itasimama. Shida ni kwamba sina...
Wadau Heshima kwenu,
Nina kisima chenye urefu wa ft 56 na kina maji mengi tu ya kutosha kwa matumizi yangu na hata kuwa na ziada.Kisima kimechimbwa mwaka 1999 mwishoni (November). Tangu...
Kwa maitaji yako ya vifaranga na mayai ya kware pamoja na kuku wa kienyeji tafadhali tuwasiliane, nipo Kirumba Wilaya ya Ilemela Mwanza.
No. 0753460642
Ndugu zangu wanaJF
Nina shamba langu nimejiandaa kwa kilimo biashara nimeishakusanya vifaa vyote vya kilimo
Shamba langu lina ukubwa wa ekari 4 nimeishapata drip irrigation za kutosha na vitu...
Wapendwa.nimepata changamoto kubwa sana na nimejawa imani kubwa sana baada ya kusoma kitabu hiki, nakuomba nawe ukisome kwa utaratibu mzuri bila haraka, soma kwa kutafakari uhalisi wa mambo kwa...
Ndugu zanguni wana JF
Kwa yeyote mwenye biashara ya mbao na anaiuza, mimi nanunua biashara hiyo na kuiendeleza, naomba nieleweke kwa wana JF kuwa sihitajimbao bali nahitaji biashara hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.