Wakuu JF,
Kutokana na changamoto ninazozipata katika maisha. Natamani sana kuwa mjasiriamali HASA biashara ya mazao(cereal business) pamoja na ufugaji wa kuku (hasa wa kienyeji).
Hivyo vyote...
Je, wewe ni kijana mwenye kipaji cha sauti?Je sauti yako inaweza kutumika kurekodi matangazo ya redio?Kama jibu ni ndio,basi jiandikishe nasi leo ili ushiriki usaili wa sauti kwa ajili ya...
coolmate group of companies (t) ltd
tunatoa mafunzo ya ujasiriamali kwa nadharia na vitendo, tumebobea katika kufundisha namna ya kutengeneza batiki (vikoi), sabuni ya maji, dawa za vyoo...
Habarini ndugu wana JF napenda kujua je kwa wale wanaofaham kijiji Lusako kule fukayosi je ardhi yake inafaa kwa kilimo cha mihogo / mahindi? Maana nina heka zangu mbili kule nimenunua last month...
Welcome to A1 Truck Exporter Ltd
One of the most experienced Exporters of Used and New Trucks ie Tractor Units
Rigids and Tipper Trucks
Vans & Cars,Trailers,Plant Equipment,Tractors from the...
Nataka kupeleka material ya pp na pet Naona wachina wanaitana tu na kujazana kwetu wakati nasi tunaweza kufanya na tuna uzoefu wa kutosha kupata malighafi.
10 acres; Bei: $ 350,000
Simu: 0787 528745
Umeme, kisima, mabanda matatu na kila banda linabeba kuku 12,000; godown, kinu cha kutengeneza chakula cha kuku,mashine ya kunyonyoa kuku, cold room...
Kwa anaejua biashara ya Suzuki carry naomba hints kidogo kwenye changamoto (challenges) , faida, carry aina gani ni nzuri na management yake Kwa ujumla .....
...
JF Support Team
Naomba kutoa pendekezo la kuwepo kwa KILIMO NA UFUGAJI FORUM ndani ya JF kama zilivyotengwa forum za Business & Economic, Jukwaa la Siasa n.k. Kwa sasa naona mada nyingi...
General Agro and livestock enterprise tupo mkoa wa mbeya, mbalizi kata ya nsalala. Tunatotolesha mayai ya Kuku, kware na ndege wengineo wanaofugwa. Tuna incubator za kisasa. Wasiliana nasi kupitia...
coolmate group of companies (t) ltd
tunatoa mafunzo ya ujasiriamali kwa nadharia na vitendo, tumebobea katika kufundisha namna ya kutengeneza batiki (vikoi), sabuni ya maji, dawa za vyoo, sabuni...
Wana JamiiForums,
Naomba msaada wenu kujua ni ipi business management software nzuri kuliko zote ilitotengenezwa hapa kwetu Bongo, naihitaji kwa matumizi ya supermarket na fast food business...
Ndugu wanajanvi! Nipo katika mchakato wa kufanya biashara ndogo ndogo kwa lengo la kukuza kipato changu apart from kimshahara hiki cha mawazo! Katika kubangua bongo nifanye aina gani ya biashara...
Mayai ya kware ambayo ni mazuri kwa afya yako na familia yako hasa katika kuongeza kinga za mwili na kwa makuzi ya watoto sana yanapatikana ukihitaji kujua zaidi faida zake unaweza kutembelea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.