Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Nimeamua kuanza kuuza viazi mviringo na mtaji wa tsh 50 000.ambapo nitaanza na debe tano >kununua tsh7000/debe*5=35000 >usafiri 10 000 >mengineyo 5000. jumla 50 000 >nategemea kuuza 20...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimeipata hii kitu kumuhusu huyu founder wa facebook Marck Zuckerberg jinsi alivyoanza facebook na mpaka kuja kuwa multi-billionaire. Fungua hii link na ujisomee mwenyewe. inaweza badili fikra...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Contacts: +255 785 365285 A Home Business Where Real People Make Real Money Ever thought of the simplest and the most definite way to achieve FINANCIAL SUCCESS? If your answer is NO, then you...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari zenu, Nina mtaji wa milioni 20, nataka nifungue fremu ya biashara Dar es Salaam. Ni maeneo gani naweza kupata fremu ya bei nafuu?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Dears wajasiliamali naomba kuuliza kuna mtu humu analima kilimo cha greenhouse...faida zake...hasara je? Please n please naomba kueleweshwa vizuriii kabisa na gharama zake za kufunga na kila...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau, Nahitaji kupata bamboo /mianzi ambayo imekomaa na eidha imekauka ama bado (ikiwa haijavunwa pia). Naomba kwa yeyote anayefahamu inapopatikana ama kama ni mkulima anijuze.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapendwa wangu mimi ni mjasiriamali,natengeneza mashati ya vitenge, bazee, na batic. Kiu yangu kubwa ni kuhakikisha vazi hili la Africa linatamba. Naomba ushauri wenu. Nataka niwe najumlisha...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta soko la mafuta ya alizeti
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kulingana na kichwa hapo juu.Kwa kifupi nina shamba lenye ukubwa wa ekari sita, shamba hilo limezungukwa na maji ya mto usiokauka kwa vipindi vyote vya mwaka. Eneo hilo hulimwa mbogamboga au...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari zenu! Jamani mimi nina business idea, ambayo tayari nina kila kitu upande wa paperworks na marketing strategies, kwa maana kwamba nina uhakika kampuni itasimama. Shida ni kwamba sina...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Wadau Heshima kwenu, Nina kisima chenye urefu wa ft 56 na kina maji mengi tu ya kutosha kwa matumizi yangu na hata kuwa na ziada.Kisima kimechimbwa mwaka 1999 mwishoni (November). Tangu...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Kwa maitaji yako ya vifaranga na mayai ya kware pamoja na kuku wa kienyeji tafadhali tuwasiliane, nipo Kirumba Wilaya ya Ilemela Mwanza. No. 0753460642
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Ndugu zangu wanaJF Nina shamba langu nimejiandaa kwa kilimo biashara nimeishakusanya vifaa vyote vya kilimo Shamba langu lina ukubwa wa ekari 4 nimeishapata drip irrigation za kutosha na vitu...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Anae jua hesabu ya tax Dar es salaam kwa siku au kwa week anijuze tafadhali na cost zinazohitajika
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wapendwa.nimepata changamoto kubwa sana na nimejawa imani kubwa sana baada ya kusoma kitabu hiki, nakuomba nawe ukisome kwa utaratibu mzuri bila haraka, soma kwa kutafakari uhalisi wa mambo kwa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Natafuta waya wa umeme wa Accer laptop kama unayo tafadhali nitaarifu. shukrani
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba kujuzwa kila jitu kuhusu ukulima wa carrot
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu zanguni wana JF Kwa yeyote mwenye biashara ya mbao na anaiuza, mimi nanunua biashara hiyo na kuiendeleza, naomba nieleweke kwa wana JF kuwa sihitajimbao bali nahitaji biashara hiyo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Je hizi biashara za mitangao kama za kujiunga kwa kiasi flani na kuuza bidhaa zao ni nzuri na nipate mfano wa watu wanaofanya nitashukuru Asanteh
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom