Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Wakuu JF, Kutokana na changamoto ninazozipata katika maisha. Natamani sana kuwa mjasiriamali HASA biashara ya mazao(cereal business) pamoja na ufugaji wa kuku (hasa wa kienyeji). Hivyo vyote...
0 Reactions
0 Replies
988 Views
Je, wewe ni kijana mwenye kipaji cha sauti?Je sauti yako inaweza kutumika kurekodi matangazo ya redio?Kama jibu ni ndio,basi jiandikishe nasi leo ili ushiriki usaili wa sauti kwa ajili ya...
0 Reactions
1 Replies
930 Views
Nina Broiler 350, wamefikia hatua ya kuuzwa, nahitaj mteja, awasiliane nami kupitia namba 0685-606000.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
coolmate group of companies (t) ltd tunatoa mafunzo ya ujasiriamali kwa nadharia na vitendo, tumebobea katika kufundisha namna ya kutengeneza batiki (vikoi), sabuni ya maji, dawa za vyoo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF naomba msaada wenu, Nimekuwa muoga sana katika kuchukua maamuzi ya kufanya biashara Hali hii inaweza kutatuliwa na nini.? Nawasilisha hoja
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hbr wana jamii forums natafuta dslr camera aina ya canon 1100 au nikon D3100 budjet yangu tsh 500000
0 Reactions
0 Replies
671 Views
Wapendwa nataka kufanya biashara ya mafuta ya alizeti,naomben kujua upatikanaji wake nina mtaji wa mil 2 je unaweza tosha??nipo arusha
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Redirect
Habari Kodi mirunda na formworks za kisasa kwa bei nafuu kwa matumizi ya SLAB, VERTICAL BEAM (NGUZO), STRONG ROOM Kind Regards...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Habarini ndugu wana JF napenda kujua je kwa wale wanaofaham kijiji Lusako kule fukayosi je ardhi yake inafaa kwa kilimo cha mihogo / mahindi? Maana nina heka zangu mbili kule nimenunua last month...
0 Reactions
Replies
Views
Welcome to A1 Truck Exporter Ltd One of the most experienced Exporters of Used and New Trucks ie Tractor Units Rigids and Tipper Trucks Vans & Cars,Trailers,Plant Equipment,Tractors from the...
0 Reactions
0 Replies
691 Views
Nataka kupeleka material ya pp na pet Naona wachina wanaitana tu na kujazana kwetu wakati nasi tunaweza kufanya na tuna uzoefu wa kutosha kupata malighafi.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
10 acres; Bei: $ 350,000 Simu: 0787 528745 Umeme, kisima, mabanda matatu na kila banda linabeba kuku 12,000; godown, kinu cha kutengeneza chakula cha kuku,mashine ya kunyonyoa kuku, cold room...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa anaejua biashara ya Suzuki carry naomba hints kidogo kwenye changamoto (challenges) , faida, carry aina gani ni nzuri na management yake Kwa ujumla ..... ...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
JF Support Team Naomba kutoa pendekezo la kuwepo kwa KILIMO NA UFUGAJI FORUM ndani ya JF kama zilivyotengwa forum za Business & Economic, Jukwaa la Siasa n.k. Kwa sasa naona mada nyingi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
General Agro and livestock enterprise tupo mkoa wa mbeya, mbalizi kata ya nsalala. Tunatotolesha mayai ya Kuku, kware na ndege wengineo wanaofugwa. Tuna incubator za kisasa. Wasiliana nasi kupitia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
coolmate group of companies (t) ltd tunatoa mafunzo ya ujasiriamali kwa nadharia na vitendo, tumebobea katika kufundisha namna ya kutengeneza batiki (vikoi), sabuni ya maji, dawa za vyoo, sabuni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana JamiiForums, Naomba msaada wenu kujua ni ipi business management software nzuri kuliko zote ilitotengenezwa hapa kwetu Bongo, naihitaji kwa matumizi ya supermarket na fast food business...
0 Reactions
0 Replies
942 Views
Ndugu wanajanvi! Nipo katika mchakato wa kufanya biashara ndogo ndogo kwa lengo la kukuza kipato changu apart from kimshahara hiki cha mawazo! Katika kubangua bongo nifanye aina gani ya biashara...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Mayai ya kware ambayo ni mazuri kwa afya yako na familia yako hasa katika kuongeza kinga za mwili na kwa makuzi ya watoto sana yanapatikana ukihitaji kujua zaidi faida zake unaweza kutembelea
0 Reactions
86 Replies
15K Views
Nauza bata mzinga, more info nicheki whtsap kwa 0659606000
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom