Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wadau hebu tembelea hii link, mwawezaongeza kipato ktk maisha. kila la heri CashWeGo.com - Earning website for Students, Job-less people and House wife
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau nina asali ya Tabora na karanga. Ziko lita 60 za asali kwa mwenye kuhitaji. Pia kama kuna anayefahamu soko la uhakika kwa regular supply. Asanteni elnino, Mlachake, GAZETI, Malila...
2 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari humu jamvini, Nina plot ambayo ipo kilometer 8 kutoka uwanja wa ndege KIA(Kilimanjaro International Airport) yenye ukuwa wa meter square 4500 na pia ina hati na ipo barabarani kabisa Arusha...
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Tunauza mayai na vifaranga vya kware kwa bei nafuu sana kwa ambaye anatamani kujua jinsi ya kufuga, bei ya mayai na vifaranga na mengineo tunapatikana tabata changombe na kwa mawasiliano zaidi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
ni mgeni hapa Dar, niko na kazi zangu ambazo nitaka kuziprinti ni business card, naomba jua ni wapi ninakoweza kufanya printing
0 Reactions
1 Replies
1K Views
CAMARADOR CAMP – MWANZA CITY Mwana JF uliyeko Mwanza na yeyote anayetegemea kutembelea jiji la Mwanza; unakaribishwa kujumuika na wastaarabu Camarador Camp iliyo Barabara ya Nyerere (Igoma –...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
JIUNGE NA HOPE NA SUCCESS CLUB (HIP CLUB) KWA MAFANIKIO YAKO 1. UTANGULIZI HIP Club ni chama cha kijamii kilichoanza kazi zake tarehe 3 Machi 2014 na Kupata usajili kwa mujibu wa sheria ya...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari wana jf...naamin wote wazima na mwaendelea vema kusukuma gurudumu la taifa ...mimi ni binti nilieamua kujiajiri..nashughulika na mapishi aina yote..napika vyakula vya kila aina..naomba...
1 Reactions
2 Replies
987 Views
Je una mayai lakini huna mashine ya kutotoresha na unaishi maeneo ya kanda ya ziwa hasa karibu na kahama. Huduma hii inapatikana njoo na mayai ili upate kutotoreshewa. Hii ni kwa ajili ya watu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kilimo cha Red worm kwa huku kwetu bado tuko nyuma ila kwa wenzetu Red worm ni biashara na red worm ina kaz nyingi sana na faida kubwa mno. 1. Kulishia kuku- Ina kiwango kibwa sana cha protein...
4 Reactions
47 Replies
11K Views
Habari zenu, Nauza mayai ya kuku wa kisasa tray moja Shs 6000/= .Nipo Dar es salaam. kwa anaehitaji ni PM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenye uzoefu na biashara ya n'gombe anijuze Nina n'gombe 15 nataka kuja kuuza pugu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tafadhali kwa yeyote ambaye anajua location ya BBone electronics nimekutana nalo kwenye online shoping website moja but nataka siku moja nilitembelee hili duka, Thanks.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waungwana mwenye Kware weng majike na anashida ya madume kwa ajili ya mbegu tubadilishane maana ninamadume meng had majike hawana raha hapatuli bandan, hata10 nitawafata kokote ulipo dar hii
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani naomba kuulzia kama kuna fundi welding humu ndani au mtu yeyote anaye mjua fudni welding anaye tengenza mabanda ya biashara yale huwa ni shilingi ngapi na yana ukubwa gani kama kuna mtu...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Dear Friends in Arusha Jinsi kuanzisha biashara bila kuwa na mtaji mkubwa kwa muda wako wa ziada. Tar 1. Mei Mosi, tunawakaribisha kwenye oriflame mega event itakayofanyika New Safari Hotel...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Franchising FAQs 1. I'm interested in owning my own SUBWAY® restaurant. How do I get started...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakubwa naomba ushauri, chuoni nasoma na nina fedha sh laki saba hivyo nataka nifanye nini ili nipate faida bila kuathiri masomo yangu
0 Reactions
0 Replies
895 Views
Dear Friends in Arusha Jinsi kuanzisha biashara bila kuwa na mtaji mkubwa kwa muda wako wa ziada. Tar 1. Mei Mosi, tunawakaribisha kwenye oriflame mega event itakayofanyika New Safari Hotel...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nataka kuanza kufuga ng'ombe wa maziwa. Nifahamishwe Aina bora ni ipi.. Matunzo yake na ngombe moja anaetoa Lita 20_30 kwa siku. Pia naweza Kupata wap
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom