Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wakuu poleni na majukumu ya kujenga taifa letu,nina mtaji wa million 5 hapa nisaidie nifanyie nini wakuu,nasubiri kutoka kwenu
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu na wadau wa safu hii Nahitaji kujua na kujifunza kushona viatu vya kitamaduni yaani vinavyotumia material ya malighafi zetu kama vile vitenge, nguo za kimasai nataka kujifunza namna...
2 Reactions
8 Replies
14K Views
Nauza Mayai ya Kware kwa bei nafuu: Tray moja lenye mayai 30 ni Tshs 14,000/= Namba ya simu: 0688 292007.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
I'm in dar for holiday visiting family and ave got tied of sitting g home doing nothing, so if you deal with poultry, rabbit and or vegetable farming and you are within dar , well I may be of...
0 Reactions
0 Replies
732 Views
Habari wana Jamii, Ninamshukuru sana Mungu kwa kunijaalia kuiona tena siku mpya. Watu wengi wanapopatwa na matatizo ya kifedha, jambo la kwanza hufikiria ni kwasababu wanapata mishahara midogo...
3 Reactions
5 Replies
3K Views
Mimi ni kija wa kiume, nipo Dareslam Msasani nimepewa mtaji wa milioni 5 ni familia niizungushe kwa masharti niwe natoa laki moja kila mwezi kwa ajili ya kuwasaidia wazee wawili ilikuwasaidia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji sasaivi wamefika mia na hamsini tatizo wanataga sehemu moja wnalalia sehemoja wa tatu kila siku wanachanganya mayai matokeo yake wanayaharibu tu msaada tafadhali.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
TABIA 4 ZA WATU WALIOFANIKIWA KATIKA UMRI MDOGO 1. Zifuate nafasi za kufanikiwa zilipo, usikae ukisubiri zikufuate. Kama kilimo cha vitunguu ni Mbeya, wewe Dar hapakufai, nenda uone mambo...
11 Reactions
22 Replies
24K Views
habari wanajumuiya, ningependa kufahamu kampuni nzuri ya kufanyia biashara ya kuuza LUKU ambayo ina maslahi mazuri kiasi? natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Waungwana numetoa ofa hiyo kwa mwenye uhutaj anichek fasta ninamadume ya kware30 nataka kuyatoa fasta mwenye uhitaj anichek fasta tufanye biz au anipe majike 20 nimpe madume 27 fasta
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wapendwa natumaini mko salama, Kuna mdogo wangu kaulizwa swali kashindwa kulielewa, sasa kaniletea mimi na kwangu limekuwa gumu, nikaona nililete hapa kwa wadau mtanisaidia; ''Distinguish...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari za leo wana JF, ninataka kufuga Dagaa kamba , kuna mwenye taarifa jinsi ya kufuga , chakula chake, bwawa lake liweje na Soko lake ndani ya Tanzania?
0 Reactions
1 Replies
6K Views
mambo vp ndugu...nataka kuanza biashara ya ufugaji kuku wa kienyeji kama kuna mtu ana experience na hii kitu anajuze jinsi ya kuwakinga kuku katika magonjwa dawa zipi za kutumia
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habarini wadau, nina blog inayotembelewa na wadau mpaka 36,000 kwa siku, pia nina page yenye zaidi ya likes 33,000 na group lenye zaidi ya watu 13,000 kama upo dar au mkoa mwingine ambapo watu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanahitajika vijana 20 wa kuuza nguo kwa kutembeza nguo za mitumba za wadada, wamama na watoto,kutafuta masoko mbalimbali mfano maofisini, vyuoni, mitaani n.k Malipo ni kwa siku. VIGEZO: Awe...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wakuu! Nipo dar es salaam naomba kujuzwa sehemu ninazoweza kupata tray za kuwekea mayai ya kware.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Vifaranga wa siku moja, week moja, week mbili na week tatu wanapatikana kwa wingi. Hawa wafugaji wako Mbele ya Tegeta Dar es Salaam, lakini wanauwezo wa kukuletea vifaranga mahali ulipo kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana JF, Nahitaji vifaranga vya kuku wa kienyeji kwa ajili ya kufuga..Mimi ndo kwanza naanza kufuga kuku wa kienyeji. Pia naomba ushauri nianze kufuga kuku wangapi.Matarajio yangu ni kuwa...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Clean, excellent condition-Only for serious buyers...0655647760
0 Reactions
0 Replies
918 Views
Clean, good condition
0 Reactions
0 Replies
976 Views
Back
Top Bottom