Habari wanaJFwenzangu,
Nimepata wazo ambalo nina imani tunaweza kulifanyia kazi tukiwa kama team wawili au watatu na kuendelea. Tanzania yetu (hapa naiongelea Dar es Salaam), wageni wanaotoka...
Je ni kweli Benki kuu imesitisha kutolewa kwa huduma za mikopo Katika Benki zote ikiwemo CRDB mpaka July! Mwenye habari kamili juu ya hili Tafadhali Wakuu.
Wadau,
Msaada kwenye tuta, nataka kuwa wakala wa vyakula vya kuku hususani vya falcon. msaada wa kupata mawasiliano ya Falcon tafadhali na mwenye kujua njia za kufata kupata uwakala. Nipo Dar.
Wataalamu wenzangu na wajasiriamali wa kiteknolojia,ambao mnajihusisha na uundaji wa mashine za kuangulia vifaranga vya ndege.
bila shaka mtakuwa mnatambua ulazima wa ufungaji kifaa kinacho...
Habari wadau nihiv kwa mwenye soko au uhitaji wa mayai kwa ajili ya kuangulishia mitamuzia kwa bei ya jumla itakayo mpa faida kama ataamua kuuza rejareja anichuki kupitia 0717209059/0765347508 bei...
Napenda kutembelea wafugaji wa kuku, nguruwe na mbuzi walioko Mwanza , so kama wewe ni mfugaji na unaweza nikaribisha nikutembelee naomba contact zako ili tuwasiliane
Asanteni
Wadau naamini hamjambo!
Kuna Kampuni inajishughulisha na ukopeshaji wa Solar system kwa masharti nafuu sana. Utakopeshwa mtambo huo kwa masharti nafuu na utarejesha baada ya miaka mitatu baada...
Example of Hypothesis title; Wanafunzi wanaosoma usiku wana faulu zaidi mitihani yao kuliko wanafunzi wanaosoma mchana, nitakuwa na (Null Hypothesis (Ho) (P<0.001, P<0.01,P<0.05)) na (Alternative...
Example of Hypothesis title; Wanafunzi wanaosoma usiku wana faulu zaidi mitihani yao kuliko wanafunzi wanaosoma mchana, nitakuwa na (Null Hypothesis (Ho) (P<0.001, P<0.01,P<0.05)) na (Alternative...
Naomba kujua bei ya vitunguu mikoani hususani Tanga, Same, Morogoro,Singida na kwingineko. Nataka ile bei ya mkulima sio ya mtu wa kati au mchuuzi/mlanguzi
Asanteni.
Habari zenu wakuu.
Natumai mnaendelea vyema na harakati
za kusukuma gurudumu la maisha.
Wakuu mimi nina pesa lakini sina
idea nzuri ya biashara na kuna watu
wengine humu jamiiforums
wana...
Habari za muda wana JF,Mimi ni mjasiriamali mdogo sana wa kuku wa kienyeji..Ila kwa sasa nategemea kukua kibiashara na kuanza kufuga kuku wa mayai na hivyo ninahitaji kujenga mabanda ya kuku wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.