Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
I have this great idea abt business and i believe in it 200% but the issue is it need a large capital like 100mills TSH.. therefore if kuna m2 anaweza kunipa ushauri vile naweza kupata mkopo wa...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Zamani kama miaka 20 iliyoipita dagaa wa aina zote ikiwemo dagaa wa kigoma walikuwa ni chakula cha walalahoi watu masikini kabisa,na bei yake ilikuwa chini mno ilikuwa dagaa wanauzwa hawafiki...
5 Reactions
62 Replies
11K Views
Nauza kuku chotara wako 130. Wana umri wa miezi mnne, wanaelekea muda wa kuanza kutaga. Kuku wako mwanza na ninawauza haraka kwa sababu nahitaji kuhama Wanafaa kwa kufuga au kula, bei sh 15,000...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habarini wanajamii forum, Mimi ni kijana ninayetaka kujiajiri kwenye Kilimo na ufugaji. Ninaomba mnipe taarifa za mahali ninakoweza kupata shamba, na bei zake kwa heka.Ila kuwe na uhakika wa maji...
0 Reactions
2 Replies
948 Views
  • Redirect
Habari za wakati huu. Naomba fahamu taratibu za kufungua duka la dawa za binadamu. Karibuni kwa michango mbalimbali ndugu zangu.
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Wadau nimepata interest ya kufuga ng'ombe wa Maziwa, naomba mwenye ufahamu aniambie ni aina gani ya ng'ombe wanaostawi maeneo ya Pwani yaani maeneo ya joto. Je wako ng'ombe ambao ni lazima wafugwe...
0 Reactions
Replies
Views
Habari wana JF, Ni imani yangu kuwa hapa tunakutana watu wa aina mbalimbali na wenye elimu na utaalamu mbalimbali. Nina mpango wa kufungua huduma za kutoa mikopo kuanzia mikopo midogo, ya kati na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Watu wengi hujikuta wakiwa wanahangaika wataanzaje biashara bila kuwa na kiasi kikubwa cha pesa. Wakati huohuo, wengine wana pesa lakini hawana ujuzi wa msingi wa kuweza kupata zaidi ya kiasi...
19 Reactions
51 Replies
41K Views
wasalaaaam!! Mimi ni kijana wa miaka 24, muhitimu wa Shahada ya Elimu, na nimekulia katika mazingira ya ufugaji wa KUKU kwa kiwango cha kati! Nilitaka ushauri toka kwenu kuhusu kuanzisha...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wanajamii nielekezeni jinsi nitakapopata mafunzo yauzalishaji wa sausages, upatikanaji wa vitendea kazi vya pia kama unaushauri wowote kuhusu uzalishaji wa sausages kwa small scale.
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Mm n kijana wa miaka 23,nasoma chuo kikuu.nina laki 4.nataka nianzishe mtaji au kitu kitakachoniingizia pesa huku nkiwa nasoma(yaani biashara ambayo haitahitaji mda wangy mwingi ili...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wasalam! Nataka nisafirishe viazi kutoka Mbeya kuja Tanga. vipi vinalipa wadau au mnanishaurije kuhusu hili?
0 Reactions
2 Replies
609 Views
Nina mpango wa kuanza biashara ya mchele, nina million 30. Nilikua naomba ushauri wenu kuhusu biashara hii.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Baada ya Kutofanikiwa kwa mara ya kwanza Katika Network Marketing( Biashara ya Mtandao ) Nilikaa na kujifunza na kusoma kutoka kwa waliofanikiwa ni jinsi gani naweza kuwa na kipato cha ziada...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Ni miaka miwili sasa, najitahidi angalau nione manufaa, hatimaye ijiendeshe na kuinua maisha yangu na jamii yangu. Lakini sasa naona inanishinda hata kuaibika kwani Biashara haiendelei na nazidi...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nataka nipate kware wa porini kuna sehemu nimepita nimekuta pori ambalo lina kware. Naomba mwenye ujuzi katika kuwatega na kuwakamata hawa kware anijuze.
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Natafuta wanunuzi wa machungwa! Nina gunia kama 20 zipo shambani. Hazijavunwa zikivunwa ni gunia 20! Yoyote mwenye inputs. Tuwasiliane
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salam ndugu zangu kwa mwenye kufahamu anaisadie ni vifaa vip ambavyo vinahitajika katika radio station.. Ili iweze kurusha matangazo yake hewani.. Msaada jaman kwa mwenye kujua.. Asanteni
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna mahali haya matunda yanalimwa? au miche inapatiakana? kwa anaye weza kujua basi anifahamishe mara moja, sana sana miche yake.
0 Reactions
35 Replies
12K Views
Back
Top Bottom