General Agro and livestock enterprise tupo mkoa wa mbeya, mbalizi kata ya nsalala. Tunatotolesha mayai ya Kuku, kware na ndege wengineo wanaofugwa. Tuna incubator za kisasa. Wasiliana nasi kupitia...
coolmate group of companies (t) ltd
tunatoa mafunzo ya ujasiriamali kwa nadharia na vitendo, tumebobea katika kufundisha namna ya kutengeneza batiki (vikoi), sabuni ya maji, dawa za vyoo, sabuni...
Wana JamiiForums,
Naomba msaada wenu kujua ni ipi business management software nzuri kuliko zote ilitotengenezwa hapa kwetu Bongo, naihitaji kwa matumizi ya supermarket na fast food business...
Ndugu wanajanvi! Nipo katika mchakato wa kufanya biashara ndogo ndogo kwa lengo la kukuza kipato changu apart from kimshahara hiki cha mawazo! Katika kubangua bongo nifanye aina gani ya biashara...
Mayai ya kware ambayo ni mazuri kwa afya yako na familia yako hasa katika kuongeza kinga za mwili na kwa makuzi ya watoto sana yanapatikana ukihitaji kujua zaidi faida zake unaweza kutembelea
Ni kwa mara ya kwanza kufuga kuku wa broiler, wana wiki 3 sasa, ila kuna baadhi wanakuwa kama miguu inashindwa kusimama, wanakosa nguvu, na mda mwingine kutetemeka kwa mbali...nisaidieni...
Waungwana,
Mimi ni mlemavu wa miguu uliotokana na kuumia vibaya mgongo, natumia Wheelchair na ninaishi uswahilini maeneo ya ndani ndani, Natamani kufanya biashara yenye faida na isiyoitaji mtaji...
Hbr!natafuta mwny kujishughulisha na biashara ya baking esp cakes ili anisaidie kuongeza taaluma ktk hilo hata kwa malipo.Ani-pm au # yangu 0652-753759.Pls help
Kama unahitaji kujiajiri katika nyanja za mambo ya designing na printing unaweza kunitafuta kwa namba 0718 572 422 au 0754 570 510 ninatoa mafunzo kwa program za adobe photo shop, adobe indesign...
Kwa anayeishi Mwanza na anauwezo wa kunikopesha hicho kiasi cha pesa 2 million kwa riba nafuu naomba anisaidie plz.Ambaye yuko tayari anicheck kwenye inbox tujadili masharti ya mkopo na asset...
Kwa mkazi wa Dar na mikoa ya jirani aliye tayari tufanye project za uzalishaji wa mazao ya kilimo. Mimi ni mwajariwa wa manispaa mojawapo hapa DSM kama mtaalam wa kilimo lakini kwa sasa nipo...
habari za mida wanajamvi. Mimi Ni mjasiliamali nipo songea nauza Vifaranga vya kienyeji na chotara vya Malawi. bei zetu Ni nafuu sana tunapokea oda kutoka mahali popote ambapo usafiri wa kutoka...
Wana JF habarini,
Kwa wale wanaohitaji kufungua Kampuni yeye gharama yake ni 300,000 tu na utafanyiwa shughuli zote za usajili na kuandikiwa kila kitu na mihuri. Wewe hutahitaji kwenda BRELA bali...
Tunauza batiki na vikoi rangi na aina mbalimbali pisi / kipande kimoja cha batiki / kikoi ni Tsh: 8000, ukitaka pisi mbili bei mara mbili ya hiyo hapo juu vile vile na pisi tatu itakuwa hivyohivyo...
Habari zenu wakuu!Nina viroba zaidi ya 100 vya mihogo.Natafuta soko.Nipo Kahama,Shinyanga.Serious buyers only.Call 0759884771 au e-mail fkiganja@yahoo.com kwa bei na maelewano.
Natafuta vifaranga vya kienyeji 300...viwe na week moja au 2. .
Nipo Dar nicheki fasta
0752-109265 kwa SMS tu!!!!...
Pia unaweza nielekeza vinapatikana wapi....
Tunauza vikoi vilivyo tengenezwa kwa mashuka ya kimasai kwa shilingi 25,000, Vikoi vya batiki kwa shilingi 13,000, elfu Mashati ya batiki kwa shilingi 40,000, Pochi za culture kuna za shilingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.