Habarini wapendwa,
Mimi ni mjasiliamali mpya kabisa na nataka kuanza na kuku wa kisasa wa mayai hivyo naomba mnisaidie yafuatayo,
Nataka kuanza na kuku 500(vifaranga) nahitaji mtaji kiasi...
Habari wana jamii. Ninahitaji eneo kubwa popote nchini ambalo nitauziwa kwa bei poa ili nichimbe bwawa kubwa la kuvunia maji ya mvua kwa ajili ya kilimo. Naweza pata wapi ndugu zangu. MI ninaishi...
Ajira zimekua ngumu kupatikana siku hizi bila kujali unamjua nani au nini ukijuacho.
Hivi vitu kumi vitakusaidia kukuongezea ubunifu na kukuweka katika hali nzuri katika soko hili la kutafuta...
I've always wanted to be a designer and normally,hua nachora designs kisha nishonewe.many ppl including Taylors wenyewe wameniadvice nijifunze kushona...which I agree.
So,kwa yeyote anayejua...
Nauza na kufix accessories za computers kama....
Screen za Laptop
Battry za Laptop
Keyboards za Laptop
HDD za Laptops na Desktop
Ram memory both
Pc repairs & maintanence
Windows & Softwares...
Napenda kuwapa taarifa watanzania popote pale mlipo.......ninafanya ujasiliamali na ninawataarifu vijana wote na watu wa rika lolote waje tufanye ujasiliamali wenye tija na maendeleo yetu kwa...
kwa uhitaji wa mayai ya kuku wa kienyeji tsh10000 tray na ya kware tsh 12000 tray pia kwa uhitaji wa vifaranga chotara kutoka malawi na vifaranga vya kware na mambo mengine mengi kuhusu ufugaji na...
Ndugu habarini za muda huu.
Shida yangu ni moja tuu, ningependa kujua kilimo cha mpunga hususani idadi ya magunia ninayoweza kuvuna katika eka moja, na gharama zake kwa pamoja, na je soko la zao...
Nataka kujaribu kilimo cha bustani ila naiuliza kati ya bamia au nyanya chungu ni zao gani linafaida nzuri na soko la uhakika?
nategemea kulima kilimo cha umwagiliaji mkoa wa pwani.
Habari wadau!
Ili kukabiliana na changamoto za maisha mbali na kakazi kangu ka serikali kanakonipatia ridhiki ya kila siku, ndani ya miezi michache ijayo nakusudia kufungua duka la viatu na...
Nimepata eneo ni dimbe/swamp nafikiria kupachimba nifuge samaki
sehemu yenyewe haina mto karibu ila chem chem zake zinachukua muda kukauka baada ya mvua kwisha mwezi may!
naombeni ushauri jinsi...
Nahitaji kufanya biashara ya kuuza samaki in large scale.
Yaani mfano kama kusafirisha kilo 100 hadi 1000 kutoka Mwanza hadi Dar,
Mwenye ujuzi na hii biashara anishauri
wana jf naomba mwenye utaalam wa kufuga samaki anijuze, je naweza kufuga samaki sehemu yenye maji yalio stagnant, yaani hakuna maji mengin kuingia na hakuna maji yanayotoka! naomba kujwa...
Jamani naombeni mawazo,nimekusanya 30m nataka kufanya biashara yenye kuhitaji minimum supervision maana nafanya kazi ya kuajiliwa na siwezi kuacha kazi,biashara gani naweza kuanzisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.