Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Nahitaji wakala wa kuuza vitabu mkoa wa Mwanza na Arusha.Kwa sasa nina vitabu aina mbili ambavyo ni Mwandae mtoto kufikia malengo yake na Tanzania mikononi mwa Mungu.Karibuni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wapendwa poleni na majukumu. Hivi kweli focus vikoba inatoa mkopo online? Au ni njia ya kuwatapeli watanzania? Nimepigiwa simu zaidi ya mara moja wakinisisitiza kuweka akiba yangu ya sh 1mil...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ninauza batabukini.Wapo wawili.Jogoo na tetea.Ni wazuri.Tetea ataanza kutaga hivi karibuni.Nipo Kibaha 0719786521/0768069996.Asante.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za mida hii wanajukwaa. Mimi ni mjasilia Mali nimenunua incubator ni natotoresha mayai ya kware, kuku wa kienyeji na Malawi. Sasa kwa Kipindi tangu nianze hii kazi wateja wanaohitaji...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
habari wapndwa, me nataka kuwa mjasiriamali, kijana mwenye ndoto za kua tajir mkubwa baadae kwa kupitia biashara, lakin sijajua kua nifanyeje niweze kutoka kwan kwa mtaji nilio kua nao xjajua...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za leo ndugu zangu, Poleni kwa Majukumu na kazi nzima ya kujenga taifa.Ombi langu kwenu ni Mawasiliano ya Institutions za kilimo ambazo zinahusika na research pamoja na breed...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tuna machine za kisasa kwa ajili ya kutotoa vifaranga vya kuku,kware na bata aina zote. Tupo Dar es Salaam, Tabata segerea. Mawasiliano ni 0763976292. Bie ya trei ni nafuu sana. Wai mapema
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Kama wewe ni mjasiriamali unataka kuanza biashara hii inaweza ikakufaa, Karibu... Biashara ya kuku wa kienyeji. Hii ni biashara inayolipa sana kama utafanya kwa juhudi haihitaji mtaji mkubwa. Na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Salaam nyote. Kwa wenye kuhitaji kuku wa nyama wanapatikana na wako na kilo nzuri kabisa na ni wazito pia wana umri wa wiki 5. Idadi kwa anayetaka kwa sasa wapo kuku mia nane (800) na pia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pata kuku wa kienyeje wakubwa na wenye Afya na uzito wa kutosha kwa thamani ya shilingi 16,000/= na 17,000/=. Ninapatikana Arusha maeneo ya Usa-River. Wanaohitaji kwa order pia watapata huduma...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu Wakuu wa jamvi hili,Naomba mwenye contact namba za Mrimba Rubi anisaidie.Shukrani za dhati.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msaada, Kwa anaejua VICOBA SACCOS kwanza ni kweli hii SACCOS hipo na inatoa mkopo on line (kwenye mtandao) kwa mtu aliye mkoani
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Naomba mtu wakahama anijuze yafuatayo, 1)bei za mashamba yasiyo mbali na mjini kama km 4-10 toka mjini 2)upatikanaji wa maji katika maeneo hayo, 3)nimaeneo yanayo faa kwa kilimo cha bustani...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari ndugu wana jamvi, Nina jambo hapa ambalo nataka tupeane uzoefu kidogo.Nashindwa kuelewa utaalamu ambao mtu kaupata kwa gharama na muda mwingi aumnufaishi ipasavyo. Pamoja kwamba bwana au...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari zenu! mimi nipo dar es salaam nafanya shughuli ya ku-supply samaki sato wa Mwanza kilo sh 7,500/= nina supply kuanzia kilo 100 na kuendelea sio chini ya hapo. Kwa maziwa fresh ya ng'ombe...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
What man can do woman can do better!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tanzania imejaliwa vyanzo mbalimbali vya rasilimali moja wapo ni mito.maziwa na bahari. lakini kwa sasa changamoto mbalimbali ikiwemo uvuvi haramu,mabadiliko ya tabififa ya nchi na ongezeko la...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Shamba la Mananasi linauzwa lipo Kiwangwa -Bagamoyo umbali wa Km 3 tu kutoka barabara kuu ya lami iendayo Msata. Lina ukubwa wa Ekari 40, pia lina minazi. Lina vibanda 5 vya kudumu vya...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Wakuu za saa hizi, Nna wazo la kufanya packaging nzuri ya hizi bidhaa ndogo kama karanga, korosho, naomba kwa yoyote anayefahamu packaging nzuri au tuseme sehemu wanatengeneza mifuko mizuri...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Wana JF Ningependa kufahamu upatikanaji wa Zana mbalimbali za kilimo na usindikaji wa mazoa; matumizi, bei yake, picha (kama inapatikana) na mahali inapopatikana (zile ambazo zinapatikana hapa...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Back
Top Bottom