Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wandugu, kuna shamba nataka ninunue (50 acres) maeneo ya Msanga, Kisarawe Mkoa wa Pwani. Hilo shamba lina udongo mweusi, lipo bondeni. Nimechukua Sample ya Udongo na Maji kutoka katika shamba...
0 Reactions
12 Replies
9K Views
habar wakuu, kwa wanaoufaham vizur mkoa wa geita naomben msaada kuhusu hili,nina lak 5, pesa hiyo nahitaj kuifanyia biashara. sina uzoef wa biashara wara idea kuhusu nifanye...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
habari jamvini!mitetea yangu mitano baada ya Kuwanyang'anya mayai na kumpa kuku mmoja alalie hawa walio baki hawajataga tena sasa yapata wiki nne kasoro,inanichanganya sana,
0 Reactions
1 Replies
1K Views
elfu kumi kwa lita mawasiliano 0765076040
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hi wana jf,anae fahamu bei ya ukwaju iwe ni kwa debe ama kilo msaada tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
5K Views
habari jamvini!mitetea yangu mitano baada ya Kuomintang'anya mayai na kumpa kuku mmoja alalie hawa walio baki hawajataga tena sasa yapata wiki nne kasoro,inanichanganya sana,
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wadau, naombeni msaada kwa wale wenye uzoef na biashara ya mpsa.nikuwa nahtaj kufanya biashara hyo je inalipa vzur? na utaratbu wake ili kuanzisha biashara upo vp?
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu, mwenye ujuz jinsi ya kutengeneza local screen za kuchapisha nembo,michoro kwenye nguo kama tshirt/batiki.
0 Reactions
6 Replies
13K Views
Habari zenu wakuu tafadhari naomba kujuzwa ubora wa hizi money maker na gharama za ununuzi wake zikoje.
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Habar wana jf. Neimekua nikitafta maarifa ya agribusiness kwa muda mrefu..nikakutana na greenhouse ambayo gharama zake ni ghari. Nmekutana na hii Drip agriculture. Gharama zake kwa heka...
1 Reactions
29 Replies
6K Views
DELETED
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Emtech ni procts kwa ajili ya kilimo na ufugaji, nimeitumia kwa kuku imeonyesha matunda mema. Kama kuna anayetumia hizo prd, tubadilishane uzoefu. Kwa waliokko mwanza mnaweza kutembea ofisini...
0 Reactions
0 Replies
789 Views
Kwa anayehitaji kufungua nyumba ya kulala wageni, vitanda vinapatikana vilikuwa vikitumika kwa shughuli hiyo ila mfanyabiashara amepata wazo jingine na anahama hilo eneo. Vipo vya size tofauti...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jf. Ninaomba kufahamu kwa yeyote anayejua gharama za kusafisha pori hadi kupata ardhi inayofaa kupanda mazao ni kiasi gani kwa heka moja. Nimennua eneo pwani kibiti na ninatarajia...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mayai ya kisasa kwa bei ya jumla yanahitajika, bei isizidi tsh 5,500/= kwa trei na yawe makubwa. Mteja yuko Dar es Salaam na anahitaji trei 50 kila week Ongea na mteja kwa number hii 0654 163...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari; Nipo Dar na nahitaji matunda y strawberry, nitayapata wap?? Msaada tafadhali
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Salaam, Natafuta soko la vitunguu popote East Africa, Niko tayari kuuza gunia kwa Tsh 95,000/= kama order ni kubwa sana mpaka Tsh 120,000/=. ( Bei inaweza kuongezeka yote yanategemea na uko wapi...
2 Reactions
56 Replies
26K Views
Ninauza majogoo aina ya Malawi kwa bei nafuu kabisa na ni maelewano. Nipo Arusha kwa mawasiliano piga 0764393962 Karibuni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Mimi ni kijana niliyehitimu chuo fani ya ugavi na manunuzi, kutokana na ugumu Wa ajira niliamua kubuni wazo la Biashara ili nisipoteze muda. Nilifikiria kuanzisha Biashara ya...
1 Reactions
10 Replies
7K Views
Habari za leo wana jamiiforums. Nataka kulima kisasa lakini sina ujuzi wa kutosha katika masuala ya kilimo. Nina mtaji kiasi. Nataka nianzishe kampuni yangu ya kilimo cha mboga mboga. Natafuta...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom