Jamani naombeni mawazo,nimekusanya 30m nataka kufanya biashara yenye kuhitaji minimum supervision maana nafanya kazi ya kuajiliwa na siwezi kuacha kazi,biashara gani naweza kuanzisha...
Tsh. 10,000/- tu Trei lote. Haya mayai ni dawa, tena ni chakula. Karibuni sana wana jamiiforum.
Trei moja ni Tsh. 10,000/- tu.
Piga hii namba: 0715448162
Hi wana jf,msaada jinsi ya kutengeneza huu ubuyu usio na mapeke(mbegu)
========================
======================================
Zanzibar Spices said
Ni kwamba unachukua Unga wa Ubuyu...
Amani iwe nanyi haya ni
mambo machache niliyo jifunza humu jf:
1.Ni vema kuanza na mtaji mdogo kama huna uzoefu na bishara unayotaka
kuianzisha.
2.Ili upate uzoefu unawezafanya kazi hata...
Zaa saa hizi ndugu zangu.
Jipatie viatu Imara na kwa gharama nafuu vya ngozi kuanzia sh 25,000 mpaka 37,000 kwaajili yako na kwaajili ya mtoto wako au ndugu kwaajili ya shule.
Ni viatu Imara na...
EMTECH ni product kwa ajili ya kilimo na mifugo iliyogunduliwa nchini Japan. Ikafanyiwa utafiti na maprofesa wa kilimo wenye kampuni inayoitwa EMTECH Foundation Limited yenye makao yake makuu...
Nauza vifaranga Chotara vya malawi na vifaranga vya kware pia incubator, vitabu vya ufugaji, ufugaji wa nyuki wa kisasa, watoto wa samaki kwa ajili ya kupandikiza, mayai ya kutotolesha na mengine...
Heshima zenu wakuu..
Nina capital ya 4mil nimeplan kufungua duka la madawa muhimu ya binadamu mkoani Dar es salaam..
Kwa ambaye ameshawahi kufanya naomba anielekeze procedures za kufuata ili...
Kwema wakuu, samahani aisee, nilitaka kujua ni kwa nini Obama moja ya vitu vilivyomleta Kenya ni kuzungumza na wafanyabiashara, wawekezaji na wajasiriamali? Nadhani hata hapa kwetu Tanzania...
habari wanajamii
kwa wanaohitaji mayai ya kware yanapatikana kwa bei nafuu kabisa ya tshs 15,000 kwa trei
For those in need of quail eggs, they are available at an affordable price of tshs...
Ninapesa za kikodi ekari tàno za ardhi bonde la ruvu darajani. Natàka nilimematikiti maji aina ya F1 Asali. Sasa mtaji wa kuendeshea mradi ni tatizo . Nàsikià kuna bank zinatoa mikopo midogo2...
Wana jamvi ,navutiwa sana na biashara ya kusafirisha na kuingiza bidhaa tofauti ktuka nje na ndani ya nchi, ila shida yangu ni mtiiririko wa kuanza biashara hii, YAANI NIANZEJE KWA PALE NITAKAPO...
Wakuu habari za jioni????,Nimeshawahi kusikia Watu wengi wanaisifia mbegu ya Nyanya aina ya Rio Glande,Sasa mimi sijawahi kushuhudia kwa macho yangu kuona namna hizi Nyanya Zinavyozaa;Sasa kwa...
Wakuu ninajishughulisha na ufugaji wa Bata Mzinga, Bata Maji, Bukini na Pukini, nina tenda ya ku supply vifaranga wengi kwa mwezi huu na mwezi wa tatu, naomba kama kuna mtu anayeweza kuniuzia...
Wandugu, kuna shamba nataka ninunue (50 acres) maeneo ya Msanga, Kisarawe Mkoa wa Pwani. Hilo shamba lina udongo mweusi, lipo bondeni. Nimechukua Sample ya Udongo na Maji kutoka katika shamba...
habar wakuu, kwa wanaoufaham vizur mkoa wa geita naomben msaada kuhusu hili,nina lak 5, pesa hiyo nahitaj kuifanyia biashara. sina uzoef wa biashara wara idea kuhusu nifanye...
habari jamvini!mitetea yangu mitano baada ya Kuwanyang'anya mayai na kumpa kuku mmoja alalie hawa walio baki hawajataga tena sasa yapata wiki nne kasoro,inanichanganya sana,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.