Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Una mayai ya kuku wa kizungu? nipe bei na unapopatikana nipo vingunguti... 0714 045 080.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Wakuu, natafuta kuku wa Burundi walioanza kutaga kwa wafugaji wa mwanza. Mwenye Hao kuku anitafute kwa namba 0757756948
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wadau, nimevutiwa sn na kilimo cha vitunguu maji pale kiroka morogoro, je kwa wale wazoefu wa mazingira ya kiroka, vp maeneo yenye mito yapo? na mito hiyo ni ya msimu au Mwaka mzima? pia kiroka...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wadau Naomba nisaidiwe nahitaji kuanzisha mradi wa kufuga ng'ombe wa maziwa wa kisasa nahitaji kujua wapi wanapatikana, bei yake na aina gani ingawa mimi sijui aina zake natanguliza...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wanajamvi habari zenu, Ni wapi hapa Dar ninaweza kupata vifaranga vya kuku aina ya kuroiler? Naomba kujuzwa au contact za muuzaji please.
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Nipe bei na unapo patikana nipo vingunguti 0714045080..
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mfukoni nina kama laki na nusu nataka kuanzisha biashara ya duka kubwa la kuuza jumlajumla. What to do here ?
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nataka kujaribu kufanya busniess ya dagaa ila sijui soko lake likoje.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Soko la matikiti maji linapatikana wapi?
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Habari wana Jf, Nimekua msomaji wa makala mbalimbali humu ila nimekua mchangiaji tu! Leo nakuja kwenu na uzi huu kwa mara ya kwanza naomba mnisaidie jinsi ya kulima ufuta, gharama, faida, hasara...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nina zana za kilimo ila sina eneo la kulima kwa yeyote mwenye eneo tutafutane mm nitatoa trekta kwa ajili ya kulima tuchangie au anikodishie.. eneo liwe Arusha wilaya yeyote, manyara, na dodoma...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani mbona ufuta mwaka huu bei ndogo sana leo kilo imefikia 1500 hapa Mpanda na Sumbawanga. Kuna nini safari hii?
2 Reactions
10 Replies
6K Views
Wana jukwa hamjambo, Naomba msaada wa kujua ni mda gani sahihi wa kuweka mbolea kwenye matikitimaji baada ya kuota. Asante
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za mchana wadau, nataka kuanzisha biashara ya mchele jumla na rejereja, nakwama kwenye swala la usafirishaji naombeni maoni yenu jamani.
1 Reactions
0 Replies
2K Views
I have this great idea abt business and i believe in it 200% but the issue is it need a large capital like 100mills TSH.. therefore if kuna m2 anaweza kunipa ushauri vile naweza kupata mkopo wa...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Zamani kama miaka 20 iliyoipita dagaa wa aina zote ikiwemo dagaa wa kigoma walikuwa ni chakula cha walalahoi watu masikini kabisa,na bei yake ilikuwa chini mno ilikuwa dagaa wanauzwa hawafiki...
5 Reactions
62 Replies
12K Views
Nauza kuku chotara wako 130. Wana umri wa miezi mnne, wanaelekea muda wa kuanza kutaga. Kuku wako mwanza na ninawauza haraka kwa sababu nahitaji kuhama Wanafaa kwa kufuga au kula, bei sh 15,000...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habarini wanajamii forum, Mimi ni kijana ninayetaka kujiajiri kwenye Kilimo na ufugaji. Ninaomba mnipe taarifa za mahali ninakoweza kupata shamba, na bei zake kwa heka.Ila kuwe na uhakika wa maji...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana JF, Ni imani yangu kuwa hapa tunakutana watu wa aina mbalimbali na wenye elimu na utaalamu mbalimbali. Nina mpango wa kufungua huduma za kutoa mikopo kuanzia mikopo midogo, ya kati na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom