Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Habari! Kwa wale waliowahi kusoma UDSM (Mlimani) miaka ya nyuma huenda wanamkumbuka huyu kijana "sharobaro" muuza karatasi ambaye inadaiwa ni "mnyalu" kutoka kule Iringa. Alichokuwa anafanya ni...
17 Reactions
81 Replies
12K Views
Habari zenu Wanajamvi, Kiukweli nimemaliza kutengeneza banda langu kwa ajili ya mfugo wa kuku wa nyama. Kwahivyo naomba kupewa maelekezo mazuri juu ya:- 1. Kifaranga mmoja ni sh ngapi ? 2. Wapi...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habarini za kazi wadau, Natafuta wanunuzi wa asali mbichi mjini Dar es salaam. Kwa yeyote anayehitaji ani pm
0 Reactions
0 Replies
1K Views
RIJK ZWAAN ni kampuni iliyobobea kwenye utengenezaji wa mbegu bora za mboga mboga. Kwa tanzania tuna matawi mawili Arusha (Q SEM na AFRISEM). Pia tuna tawi jipya Mwanza na sasa Bagamoyo. Kutoka...
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Nina Pesa Ppf 5m Ila Kwasasa Sifanyi Kaz, Nilitaka Nichukue Mkopo Wa 2m Nmb Kwa Dhamana Ya Hela Ya Ppf Maana Ppf Mkataba Hatuja Katatisha Bado. Hv Inawezekana?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kwa wajasiliamali wadogo.mashine mpya zimeingia.wahi mapema .mawasiliano zaidi 0754 645253
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Salamu !nataka Nianzishe Kilimo Cha Umwagiliaji Maeneo Ya Wazi Na Pia Nilime Kwa Kutumia Green House.nimekutana Na Changamoto Ya Maji Na Nikaamua Nitafute Mbinu Ya Kua Na Kisima Kirefu Ili Kua Na...
1 Reactions
14 Replies
8K Views
Harini wadau wa JF, Nina shamba ekari 50 zenye rutuba maeneo ya Jaribu Rufiji, mimi sina muda wa kufuatatilia/ au kuendeleza, natafuta mtu mwenye nia, mtaji wangu uwe ni shamba, yeye aendeleze...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau nauza kuku wa kienyeji jumla na rejareja, bei inaanzia elfu 12 mpaka 20. napatikana dar mbezi ya kimara. napatikana kwa no 0758065919
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama kichwa kinavyosema, nauza majogoo bei tsh 14,000, yako saba. Napatikana Ubungo kibo, kwa mawasiliano zaidi ni pm, au piga 0717301520
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nina kamua mwenyewe 100% pure kwa wale wa mbali nitakuletea mpaka ulipo,napatikana dodoma simu:0782433682
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Mimi ni kijana ambaye ninasoma chuo kikuu kwa sasa nilikuwa nahitaji mkopo wa Tsh 4ml kwa ajili ya mtaji wa biashara ambayo nimeibuni. Sasa tatizo sina kitu ambacho namiliki kwaajili ya kuviweka...
0 Reactions
2 Replies
991 Views
  • Redirect
Wana forums, Naomba msaada wa taratibu na kanuni za kuanzisha biashara ya samaki wabichi ukiacha wale wa kutembeza.
0 Reactions
Replies
Views
Nataka mtaji, mimi nina Diploma ya IT na ni mtaalamu sana kufunga CCTV Camera, kwahiyo nikipata mtu akiniwezesha nitashukuru au akinitafutia kazi ili nipate mtaji.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Redirect
Salamu zenu, naomba ambaye ana jua. Naomba anisaidie niwe na mtaji wa shilingi ngapi ili niweze kufungua duka la dawa za binadamu(duka la dawa muhimu) kuanzia lesseni na mtaji, niko wilaya ya...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Habari ya77 wanaJF, Nakuja kwenu ili npate msaada wa kimawazo juu ya wazo langu la kibiashara la kufungua dispensary. Mimi nina mtaji wa million kumi napenda kujua kiasi hicho kinatosha?? Na vitu...
2 Reactions
Replies
Views
Ni nafasi ya kipekee kwetu sisi vijana kwa kujiajiri kwa mtaji wako mdogo sana wa tsh elfu 40 na kutengeneza zaidi ya usd 500000. Check me on 0759 116066
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wana jamvi, Nataka kuanzisha mradi wa kilimo na ufugaji nipo Mkoa wa Shinyanga, wapi naweza kupata mkopo? Tafadhali nisaidieni
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habarini wapendwa, Mimi ni mjasiliamali mpya kabisa na nataka kuanza na kuku wa kisasa wa mayai hivyo naomba mnisaidie yafuatayo, Nataka kuanza na kuku 500(vifaranga) nahitaji mtaji kiasi...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Back
Top Bottom