Habari!
Kwa wale waliowahi kusoma UDSM (Mlimani) miaka ya nyuma huenda wanamkumbuka huyu kijana "sharobaro" muuza karatasi ambaye inadaiwa ni "mnyalu" kutoka kule Iringa.
Alichokuwa anafanya ni...
Habari zenu Wanajamvi,
Kiukweli nimemaliza kutengeneza banda langu kwa ajili ya mfugo wa kuku wa nyama. Kwahivyo naomba kupewa maelekezo mazuri juu ya:-
1. Kifaranga mmoja ni sh ngapi ?
2. Wapi...
RIJK ZWAAN ni kampuni iliyobobea kwenye utengenezaji wa mbegu bora za mboga mboga. Kwa tanzania tuna matawi mawili Arusha (Q SEM na AFRISEM). Pia tuna tawi jipya Mwanza na sasa Bagamoyo. Kutoka...
Nina Pesa Ppf 5m Ila Kwasasa Sifanyi Kaz, Nilitaka Nichukue Mkopo Wa 2m Nmb Kwa Dhamana Ya Hela Ya Ppf Maana Ppf Mkataba Hatuja Katatisha Bado. Hv Inawezekana?
Salamu !nataka Nianzishe Kilimo Cha Umwagiliaji Maeneo Ya Wazi Na Pia Nilime Kwa Kutumia Green House.nimekutana Na Changamoto Ya Maji Na Nikaamua Nitafute Mbinu Ya Kua Na Kisima Kirefu Ili Kua Na...
Harini wadau wa JF,
Nina shamba ekari 50 zenye rutuba maeneo ya Jaribu Rufiji, mimi sina muda wa kufuatatilia/ au kuendeleza, natafuta mtu mwenye nia, mtaji wangu uwe ni shamba, yeye aendeleze...
Mimi ni kijana ambaye ninasoma chuo kikuu kwa sasa nilikuwa nahitaji mkopo wa Tsh 4ml kwa ajili ya mtaji wa biashara ambayo nimeibuni. Sasa tatizo sina kitu ambacho namiliki kwaajili ya kuviweka...
Nataka mtaji, mimi nina Diploma ya IT na ni mtaalamu sana kufunga CCTV Camera, kwahiyo nikipata mtu akiniwezesha nitashukuru au akinitafutia kazi ili nipate mtaji.
Salamu zenu, naomba ambaye ana jua. Naomba anisaidie niwe na mtaji wa shilingi ngapi ili niweze kufungua duka la dawa za binadamu(duka la dawa muhimu) kuanzia lesseni na mtaji, niko wilaya ya...
Habari ya77 wanaJF, Nakuja kwenu ili npate msaada wa kimawazo juu ya wazo langu la kibiashara la kufungua dispensary.
Mimi nina mtaji wa million kumi napenda kujua kiasi hicho kinatosha?? Na vitu...
Ni nafasi ya kipekee kwetu sisi vijana kwa kujiajiri kwa mtaji wako mdogo sana wa tsh elfu 40 na kutengeneza zaidi ya usd 500000. Check me on 0759 116066
Habarini wapendwa,
Mimi ni mjasiliamali mpya kabisa na nataka kuanza na kuku wa kisasa wa mayai hivyo naomba mnisaidie yafuatayo,
Nataka kuanza na kuku 500(vifaranga) nahitaji mtaji kiasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.