Nataka kujaribu kilimo cha bustani ila naiuliza kati ya bamia au nyanya chungu ni zao gani linafaida nzuri na soko la uhakika?
nategemea kulima kilimo cha umwagiliaji mkoa wa pwani.
Habari wadau!
Ili kukabiliana na changamoto za maisha mbali na kakazi kangu ka serikali kanakonipatia ridhiki ya kila siku, ndani ya miezi michache ijayo nakusudia kufungua duka la viatu na...
Nimepata eneo ni dimbe/swamp nafikiria kupachimba nifuge samaki
sehemu yenyewe haina mto karibu ila chem chem zake zinachukua muda kukauka baada ya mvua kwisha mwezi may!
naombeni ushauri jinsi...
wana jf naomba mwenye utaalam wa kufuga samaki anijuze, je naweza kufuga samaki sehemu yenye maji yalio stagnant, yaani hakuna maji mengin kuingia na hakuna maji yanayotoka! naomba kujwa...
Jamani naombeni mawazo,nimekusanya 30m nataka kufanya biashara yenye kuhitaji minimum supervision maana nafanya kazi ya kuajiliwa na siwezi kuacha kazi,biashara gani naweza kuanzisha...
Tsh. 10,000/- tu Trei lote. Haya mayai ni dawa, tena ni chakula. Karibuni sana wana jamiiforum.
Trei moja ni Tsh. 10,000/- tu.
Piga hii namba: 0715448162
Amani iwe nanyi haya ni
mambo machache niliyo jifunza humu jf:
1.Ni vema kuanza na mtaji mdogo kama huna uzoefu na bishara unayotaka
kuianzisha.
2.Ili upate uzoefu unawezafanya kazi hata...
Zaa saa hizi ndugu zangu.
Jipatie viatu Imara na kwa gharama nafuu vya ngozi kuanzia sh 25,000 mpaka 37,000 kwaajili yako na kwaajili ya mtoto wako au ndugu kwaajili ya shule.
Ni viatu Imara na...
EMTECH ni product kwa ajili ya kilimo na mifugo iliyogunduliwa nchini Japan. Ikafanyiwa utafiti na maprofesa wa kilimo wenye kampuni inayoitwa EMTECH Foundation Limited yenye makao yake makuu...
Nauza vifaranga Chotara vya malawi na vifaranga vya kware pia incubator, vitabu vya ufugaji, ufugaji wa nyuki wa kisasa, watoto wa samaki kwa ajili ya kupandikiza, mayai ya kutotolesha na mengine...
Kwema wakuu, samahani aisee, nilitaka kujua ni kwa nini Obama moja ya vitu vilivyomleta Kenya ni kuzungumza na wafanyabiashara, wawekezaji na wajasiriamali? Nadhani hata hapa kwetu Tanzania...
habari wanajamii
kwa wanaohitaji mayai ya kware yanapatikana kwa bei nafuu kabisa ya tshs 15,000 kwa trei
For those in need of quail eggs, they are available at an affordable price of tshs...
Ninapesa za kikodi ekari tàno za ardhi bonde la ruvu darajani. Natàka nilimematikiti maji aina ya F1 Asali. Sasa mtaji wa kuendeshea mradi ni tatizo . Nàsikià kuna bank zinatoa mikopo midogo2...
Wana jamvi ,navutiwa sana na biashara ya kusafirisha na kuingiza bidhaa tofauti ktuka nje na ndani ya nchi, ila shida yangu ni mtiiririko wa kuanza biashara hii, YAANI NIANZEJE KWA PALE NITAKAPO...
Wakuu habari za jioni????,Nimeshawahi kusikia Watu wengi wanaisifia mbegu ya Nyanya aina ya Rio Glande,Sasa mimi sijawahi kushuhudia kwa macho yangu kuona namna hizi Nyanya Zinavyozaa;Sasa kwa...
Wakuu ninajishughulisha na ufugaji wa Bata Mzinga, Bata Maji, Bukini na Pukini, nina tenda ya ku supply vifaranga wengi kwa mwezi huu na mwezi wa tatu, naomba kama kuna mtu anayeweza kuniuzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.