Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Husika na kichwa cha habari kwa anaeitaji kitabu cha ukulima wa vitunguu,mboga zote na matunda na ufugaji wa wanyama tajwa hapo chini anaweza kuniPm bei ni Elfu saba tu {7000/=}kwa kimoja na elfu...
15 Reactions
76 Replies
29K Views
Wana JF Tunakodisha eneo la biashara lina ukubwa wa heka 2 na Zaidi. Eneo liko mita 500 kutoka barabara ya Bagamoyo. Linafikika kwa barabara ya uhakika. Eneo liko tupu lakini limepimwa na lina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ukwaju unapatikana kwa tsh 7000 kwa debe Mbeya,bei inazungumzika. Kama unahitaj ni pm
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zangu, Naomba mwongozo nataka kuanzisha ufugaji wa kuku wa mayai na nyama. Naomba kujua mahitaji muhimu na mambo ya kuzingatia katika ufugaji huo. Asante sana
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naombeni mnishauri jinsi gani naweza kuitumia gari aina ya Land Rover One Ten kibiashara zaidi...Napatikana Dar. Gari ni ya kizamani lakini engine ipo poa na body nzuri...Sasa naona kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu, Nina mpango wa kununua power tila mpya kabisa hivyo naomba msaada kwa wanaojua bei yake. Nipo Dodoma, inahitajika haraka iwezekanavyo. Natanguliza shukrani
0 Reactions
3 Replies
13K Views
UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KUTOWEZA KUSHIRIKE TENDO LA NDOA IPASAVYO,NA UKIFIKIA HATUA HII NI LAZIMA UTADHARAULIKA NA KILA MWANAMKE NA HATA WW MWENYEWE UTAJIDHARAU MANA UTAJIONA SI LOLOTE MBELE...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari Zenu, Kwa Wenye Mahitaj Ya Vifuatavyo Wanione, 1, Project Write Up And Proposal 2, Busness Plan And Directory 3, Investment Plan 4, Project Proposal And Draft 5, Link With Foreign...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama kichwa kinavojieleza hapo juu. Nimebahatika kudunduliza hela nimepata laki 5 naweza kufanya biashara gani kwa wilaya ya NAMTUMBO mjini pale.naomba mchango wa mawazo maana najua kwangu...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kijana yoyote ambaye unaisoma makala hii ambaye unataka kujiaajiri kwanza lazima uyazingatie mambo haya , kwanza uelewe ujasiriamali ni kitu cha namna gani na unawezaje kufanikiwa kupitia...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
ELIMU BIASHARA JINSI YA KUUA BIASHARA YAKO Inasemekana kwamba Biashara nane au tisa kati ya biashara mpya ambazo huwa zinaanzishwa huwa zinafeli, yaani zinakufa na zinashindwa kuendelea...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wadau,automatic incubator zenye uwezo wa kuengua mayai 48 zinauzwa kwa punguzo la bei,kwa sasa bei ni Tshs 400,000/= na zina warranty ya mwaka mzima!kwa mwenye uhitaji anaweza kuni PM au...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello. Mimi ni kijana nina miaka 25, nipo Zanzibar. Nina elimu ya Diploma ya juu (advanced diploma) katika fani ya Finance. Kuna idea ambayo nahisi ina tija sana kwa maeneo ya dar es salaam na...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari msomaji wa uzi huu. Je, unahitaji kufanya biashara ya pamoja na unamtaji? karibu tufanye biashara kwa pamoja, haijalishi uko mkoa gani. Unaweza kuniPM namba yako kwa ufafanuzi zaidi. Fursa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna utajiri mkubwa uliolala katika Kilimo. Baadhi ya watu wanakosa taarifa tu ili wawe na uwezo mkubwa wa ki-uchumi. Bofya UjasiriMali na iMADS Ukithubutu, Utaweza.
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari wakuu,
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji vifaranga vya bata wa kawaida hawa (bata mavi). Mwenye navyo anipm. Ninapatikana Dsm.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naomba ushauri, nina idea ya kuanzisha biashara ya hardware na niko Dar but I do not have any idea on the business startup capital, business formalization process and its costs na where I can get...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
nataka kujua kwa kina juu ya green house farming has a faida,changamoto,na mmahali gani panafaa kwa kilimo hiki
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau nahitaji Miche ya nyanya hybrid kwaajili ya greenhouse, mwenye nayo anipigie 0786431443
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…