Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Kavati za vioo zinauzwa ni special kwa madukan kwa kuuzia simu n.k kwa mawasiliano 0655153518 whatsap mahali ni ruaha morogoro
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za leo wajasiriamali, Napenda kuwaletea biashara ya Pullets/kuku wa mayai ambao wametuzwa kwa uangalizi wa hali ya juu ma kulishwa chakula bora kabisa cha CP,wanapatikana kwa bei zuri...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari zenu wapendwa Naomba mnipe msaada wa mawazo kuhusu biashara ambayo naweza kufanya kwa mtaji wa Tshs 500,000 Hata kama ni yakusafiri sio mbaya
0 Reactions
5 Replies
8K Views
kwa wale wanaohitaji huduma za kutengenezewa #music video #films , #documentary#TV program #logo&posters#studio photos Tunakukaribisha AFRICAN HITS STUDIO. Tupo tegeta. phone: 0712973820 /...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MIRADI MIDOGO MIDOGO 15 YENYE KUZALISHA KIPATO KIKUBWA KWA AJILI YA WAJASIRIAMALI WANAFUNZI NA WANACHUO STUDENTS WITH A MISSION 1.MLM: Hi ndio biashara moja ambayo wanafunzi wengi ulaya...
2 Reactions
4 Replies
15K Views
Habari wakuu, Nahitaji Kujiunga na kikundi chochote cha watu wenye malengo ya kufanya savings, kukopeshana, kushauriana, kubadilishana mawazo etc. Niko Dar na nimfanyabiashara. Note that am not...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau ni jinsi gani waweza kujingizia kipato kwa kupitia mtandao (interment)
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za humu wanajukwaa, Kwa wale wazoefu juu ya bidhaa tajwa hapo juu nilikua naomba kujuzwa yafuatayo please: *Ni wapi bidhaa hizo zinapatikan kwa Bei Rahis na zenye Ubora *Bei za bidhaa...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Heshima kwenu viongozi wangu. Wakuu natumai hamjambo na mnaendelea vyema na shughuli za ujenzi wa taifa letu. Wakuu baada ya kusikia wengi wetu wakisifia sana kilimo cha vitunguu nikapata muamka...
14 Reactions
99 Replies
26K Views
Mambo bipi waungwana, poleni na majukumu, Naomba msaada waungwana nataka kufungua kibanda kuuzia umeme wa luku wa Tanesco moja kwa moja naomba utaratibu mwenye ujuzi na uelewa
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari ni mjasiliamali mdogo, nasindika vyakula. Muongozo wa kupata barcode upoje?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa mwenye uwezo wa ku supply plumbing material, stationary items kwenye makampuni makubwa au maofisi makubwa aje PM
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kutakuwa na matembezi ya elimu kwa ajili ya kujifunza ufugaj1 wa kisasa wa Sungura na kuku maeneo ya Arusha mjini na nje ya mji kidogo ili kujifunza yafuatayo. Siku ni Jumamosi au Jumapili yan...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Tafadhali mwenye ujuzi na uzohefu wa hii biashara naomba mwongozo,ikiwa ni pamoja na ni wapi unaenda kuzisajili? Asante wanajamvi
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kuna kifaa cha ku-control joto katika mashine za kutotolea vifaranga kinaitwa temperature control,Vifaa hivi vimekuwa gharama sana ambapo imekuwa ikiwalazimu baadhi ya mafundi kuagiza kifaa hicho...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Natafuta Mbegu za Cherry Tomatoes, je kuna mtu anae eza nisaidia?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jambo wadau, Naomba nipate mawazo yenu juu ya hii biashara ya kutuma na kupokea pesa kwa njia ya mitandao ya simu nataka nianze kufanya hii biashara, naomba nijue faida Inapatikanaje.?
1 Reactions
24 Replies
10K Views
Naomba msaada wa ushauri waungwana.Ni biashara gani ukipeleka haya maeneo inalipa sana.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndugu zangu, Mimi nikijana nina kiasi hicho cha pesa nataka anzisha biashara lakini nashindwa jua ipi itanifaa kulingana na mtaji huo lakini pesa ya kula na kulala ninayo mtaji tu ndio mil 2.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu, nipo kwenye mchakato wa kuchimba kisima cha maji ambapo sehemu husika hakuna umeme. Nataka mara uchimbaji utakapokamilika ninunue pampu itakayonisaidia kuvuta maji kutoka kisimani na...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…