Twende zizini Arusha

Twende zizini Arusha

ANKOJEI

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2010
Posts
995
Reaction score
749
Kutakuwa na matembezi ya elimu kwa ajili ya kujifunza ufugaj1 wa kisasa wa Sungura na kuku maeneo ya Arusha mjini na nje ya mji kidogo ili kujifunza yafuatayo. Siku ni Jumamosi au Jumapili yan kati ya tarehe 26 na 26

1. Ufugaji wa sungura katika eno dogo
2. Solo la ndani la nyama ya sungura, soko la nje Ulaya na Kenya
3. Ulishaji wa kuku kwa njia ya hdroponic (majani ya shairi)
4. Utagaji wa kila siku wa mayai

Ukiwa utakuwa tayari kujiunga nasi tuma neno 'TWENDE ZIZINI' kwenda +255 752 693 692. Wahi nafasi ni chache.

ANKOJEI
Mkulima Mjasiriamali
Arusha Tanzania.


UPDATES FOLLOWS
 
Update,

Tumekwenda tumeona, tumenusa na kugusa. Mradi wa sungura ni mzuri sana. Sungura 1 anauwezo wa kuzaa watoto wa 5 – 12 ndani ya miezi 2 manake ni kwamba anaweza zaa watoto 30 hadi 60 kwa mwaka. Sungura 1 anakula kilo 7.5 za chakula tangu kuzaliwa hadi anakuwa tayari kwa kuuza.Bei ya kilo moja ya chakula cha sungura ni sh1200. Na pia sungura anakula sana nyasi na mimea ya aina ya alfafa. Kilo moja ya sungura aliyetunzwa vizuri ni 7,500/= na wale wa kiholela ni 3,000/=

So unaweza kuona ya kwamba sungura moja akizaa sungura 30 kwa mwaka na kila sungura akawa na kilo3 then upo na kilo 90 na ni shilling 90x7500 = 675,000. Toa pesa ya chakula kwa kilo7.5x31x1200=279,000. Ndani ya mwaka 1 sungura moja anarudisha garama ya mradi. Je ukiwa na sungura wazazi 10? You know what am saying,
Soko la nyama ya sungura lipo, yupo mnunuaji wa uhakika anahitaji tani5 kwa siku bali uwezo wa Tanzania, Kenya na Uganda (TAKEU) ni tani 6 kwa mwezi. KAMATA FURSA TWENZETU

Kwa mambo mengine ya kitaalamu tembelea www.rabbitrepublic.co.ke, au kwa maelekezo ya pembeni nitafute mimi au jiunge nasi katika group la whatsapp TWENDE ZIZINI kwa kutuma neno TWENDE ZIZINI kwenda namba +255 752 693 692. Kwa wale watakao penda kwenda tena huko Rabbit Bliss jumamosi hii wanaweza wasiliana nami pia.
Wafugaji wa sungura mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na DSM hiyo ni dili, mikoa mingine kama Morogoro na Dodoma ndio itakayofuta. Mimi tu nawaletea habari, mkulima mnyenyekevu Ankojei.
 
Back
Top Bottom