Wakulima debe la mpunga hutoa kilo ngapi za mchele?
Apa nilipo debe la mpunga ni 15,000 nataka kujua hutoa kilo ngapi ili nijue gharama ipo wapi, mchele dukani kilo ni 2,400-2,600
Nimeshuhudia mara 2 Jamaa 2 wahudumia vizuri Sana mazao Yao Kitaalamu kabisa ila walichoambulia wakitaka kuzimia na wakacha Kilimo Hadi Leo hii.
1.Wa kwanza aliloma ekari 10 za mahindi mazao...
Tangu siku ya kwanza kabla hata ya kuandika code hata moja tulidhamiria kwamba Fuga lazima ijengwe kwa kusikiliza changamoto na maoni ya wafugaji wa kuku.
Kila changamoto ambayo mfugaji anakutana...
Nina kuku wa mayai zaidi ya 1,000 wanakwenda wiki ya 19 lakini wamegoma kudondosha yai. Licha ya kununua chakula cha kiwandani kuanzia Wana siku ya kwanza mpaka leo.
Lakini pia uzito wao walionao...
Habari Wana JF!
Nataka nianzishe mradi wa kufuga kondoo dume pamoja na mbuzi dume kwa mkoa wa Tanga, ningependa kujua eneo zuri likiwa karibu na mjini itapendeza zaidi.. na mbinu na je italipa au.
Wadau ,.kama ilivo ada ni lazima watu wale,..nauliza ni nafaka zipi zenye faida na uhitaji,..
Yaani nafaka zinazouzika kwa sana,..pamoja na mikoa husika
π¦΄π Elimu kwa Wamiliki wa Mbwa β Fahamu Ugonjwa wa Otitis (Maambukizi ya Masikio)
Habari za leo wapendwa wafugaji wa mbwa! Leo tunakuletea somo muhimu kuhusu ugonjwa wa Otitis β ugonjwa wa sikio...
---
ππ Elimu kwa Wafugaji β Kuhasi Nguruwe (Castration)
Karibu kwenye somo letu kuhusu umuhimu wa kuhasi nguruwe dume.
---
π Kuhasi ni nini?
Ni mchakato wa kuondoa korodani za nguruwe dume...
Habari waungwana. Nawasilisha kama nilivyoulizwa
""Nina Tshs 400000 [laki nne].Ninataka nianze kufunga kuku japo sijui A wala B kuhusu ufugaji.
Je nianze na kuku wa aina gani kati ya wa kienyeji...
---
π Elimu kwa Wafugaji β Ugonjwa wa Ndigana Kali (East Coast Fever β ECF) kwa Ngβombe
---
π¬ ECF ni nini?
Ni ugonjwa hatari unaowashambulia ngβombe, husababishwa na kimelea aitwaye Theileria...
π Faida za Kukata Mikia kwa Nguruwe (Piglets):
Karibu kwenye elimu ya huduma bora kwa piglets wako.
ποΈ Muda sahihi wa kukata mikia: Siku ya 3 hadi 5 baada ya kuzaliwa.
π Zoezi lifanywe mapema...
Tuna kila sababu ya kumpongeza Imani Lubaba, mwanzilishi wa @RubabaMedia, kwa kuteuliwa kuwania tuzo ya EAST AFRICA YOUTH AGRIPRENEUR EXCELLENCE AWARD kwenye maonesho ya East Africa Expo...
Habari wafugaji, Leo tutajifunza juu ya kumjua ng'ombe wako Kama yupo kwenye joto (estrus),
dalili za joto kwa ngβombe:
1. Kukubali kupandwa (standing heat):
- Dalili kuu! Ngβombe husimama...
Habari,Leo napenda kutoa elimu juu ya mbinu Bora za kufanikiwa kwenye mifugo yako;
---
β 1. Chagua Aina Bora ya Mifugo
Tumia mbegu bora (high-yielding breeds)
Angalia lengo lako: nyama, maziwa...
Sasa unaweza kujua chakula cha kuku kitakutosha kwa muda gani bila kubahatisha.
Feed Tracker hukusaidia kufuatilia matumizi ya chakula kila siku kulingana na idadi na aina ya kuku.
β Hakuna tena...
Imekuwa ni agenda na mpango wa siri ili kuepuka vikwazo vya kimamlaka at early stage ila mpango unaenda sawa na hapa ulipo no turning back. Ni muda sasa tangu mbegu zetu za asili kupotea katika...
Habari Wakuu? Naomba kupata mwongozo wa mazao mbalimbali ambayo hayaathiriwi na uwepo wa maji mengi katika ardhi ukiachilia mbali mazao ya mpunga na migomba.
Eneo nililopata lina asili ya bonde...
Habari za mda huu ndugu wapambanaji wenzangu
Naomba maelekezo kwa anae jua namna nzuri ya kilimo Cha tangawizi
1,hali ya hewani
2,aina nzuri ya mbegu
3, jinsi ya kuandaa mbegu au upatikanaji wa...