Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

--- ๐Ÿ„๐Ÿ“Œ ELIMU KWA WAFUGAJI โ— ATHARI ZA NGโ€™OMBE KULA KONDO LA NYUMA BAADA YA KUZAA --- ๐Ÿ” Tatizo ni nini? Ngโ€™ombe kula kondo la nyuma ni hali hatari kiafya. Inaweza kusababisha: --- โŒ Madhara...
1 Reactions
2 Replies
552 Views
Jamani habari za sahizi nduguzangu, Nimepanga kuingia katika kilimo cha mpunga, kuna rafiki yangu mmoja kanambia kwa kilipo cha mpunga kahama kina lipa hasa maeneo ya Mwendakulima. Sasa swali...
1 Reactions
7 Replies
694 Views
MATUNDA MAZURI YA UVUVI WA VIZIMBA YAANZA KUONEKANA MUSOMA VIJIJINI Jimbo la Musoma Vijijini lenye jumla ya Kata 21, lina Kata 18 zilizoko pembezoni mwa Ziwa Victoria. Kwa hiyo, uvuvi ni kazi...
1 Reactions
4 Replies
630 Views
Kumezuka Biashara ya mayai ya kware hodi hodi mpaka maofisini Biashara hi ni sawa na DECI, ama Dollar jet kwa kifupi ni PYRAMID ni utapeli wa hali ya juu. Wajasiria mali wamekuwa wakibuni njia...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwenye ndege aina ya Kware wenye umri kuanzia wiki tano hadi sita anitafute kutoka mikoa ya Dodoma, Mwanza, Geita, Simiyu..
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu kama mtakumbuka kupitia jukwaa hili miaka miwili mitatu iliyopita tulihamasishana sana kuhusu ufugaji wa kware ili kunufaika na biaashara ya nyama na mayai. Tuliambiwa pia mayai ya kware...
1 Reactions
47 Replies
10K Views
Mfugaji unatamani kuona mifugo yako ikiwa na afya njema, imara, yenye nguvu na yenye uzalishaji wa Hali ya juu Huku ukitumia gharama nafuu ya chakula ama ulishaji? mifugo plus tumekuletea PROMASS...
1 Reactions
1 Replies
760 Views
Habari wakuu. Katika harakati za kupata maarifa mapya mtandaoni nilikutana na hawa mbuzi (picha chini) maelezo niliyosoma kuwahusu ni kuwa; hawa ni mbizi wa nyama wanao uwezo mkubwa wa kupata...
1 Reactions
65 Replies
19K Views
Matunda ya Amarula tumeyala sana utotoni, ni matunda ndani yako kama ilivyo embe sema yana uchachu kwa mbali sana na pia yanalewesha ukila mengi hivyo yulikuwa tunakula kiasi tu. Ukiachana na...
8 Reactions
15 Replies
1K Views
Girolando ni moja ya Ng'ombe wanao aminika kwa utoaji wa masiwa mengi sana na wanao fugwa ukanda wa joto tofauti na hawa tulionwazoe wa kisasa amboa wana asili ya Magharibi sana. Girolando ni...
10 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari za leo wanajukwaa. Heri ya siku ya pasaka. Najua humu kuna wataalam mbalimbali, naomba kujua kwa mkoa wa iringa je miti ya mitiki inaweza kustawi? Katika kupambana nimefanikiwa kununua...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Weka namba ya whatsapp nikutumie kitabu cha Utengenezaji wa incubator kwa njia ya kienyeji namna ya kutotolesha vifaranga nyumbani kwako Kwa kutumia plastic au box na vifaa vingine vinavyopatikana...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
--- ๐Ÿ„๐Ÿ“Œ ELIMU KWA WAFUGAJI โฑ๏ธ MUDA SAHIHI WA KUPANDISHA NGโ€™OMBE --- ๐Ÿ” Kwa nini ni muhimu? Kupandisha kwa wakati sahihi huongeza nafasi ya kushika mimba na kuepuka kurudia mara kwa mara. ---...
1 Reactions
0 Replies
368 Views
--- ๐Ÿ–๐Ÿ“Œ ELIMU KWA WAFUGAJI โฑ๏ธ MUDA SAHIHI WA KUPANDISHA NGURUWE WAKO --- ๐Ÿ” Kwa nini muda ni muhimu? Kupandisha nguruwe jike kwa wakati sahihi huongeza nafasi ya kushika mimba na kupata watoto...
1 Reactions
0 Replies
485 Views
--- ๐Ÿ–๐Ÿ“Œ ELIMU KWA WAFUGAJI ๐Ÿผ Sababu za Msingi Zinazomfanya wanyama Jike Kushindwa Kutoa Maziwa + Suluhisho Kamili --- ๐Ÿ” Tatizo ni nini? Nguruwe jike asipotoa maziwa, watoto hukosa lishe ya...
0 Reactions
4 Replies
311 Views
Mwaka 2023 nilipoanza kufuga kuku, kuna swali moja lililokuwa linanisumbua sana nitumie mkaa au umeme kuwapatia joto vifaranga? Mwanzoni nilidhani ni changamoto yangu binafsi. Lakini nilivyoanza...
3 Reactions
0 Replies
658 Views
Ndugu zanguni naombeni msaada wenu tafadhali. Kilimo cha matango gharama zake zipoje, kuanzia hatua ya kwanza mpaka hatua ya mwisho kwa ekari moja tu. Ukiachana na gharama za kukodi shamba kwani...
2 Reactions
75 Replies
59K Views
1. Afya ya udongo ni nini? Afya ya udongo ni uwezo wa udongo kukidhi mahitaji ya ukuaji na uzalishaji wa mimea kama vile: virutubisho, maji, hewa pamoja na uwezo wa udongo kushikilia mmea 2.0...
4 Reactions
7 Replies
4K Views
Itaonekana ni jambo la ajabu kuwashauri kobazi kufuga nguruwe lakini ushauri huo umetolewa na Sheikh Abubakari Mwaibabile wa msikiti wa Sabasaba katika kitongoji cha Holemela,Mbarali Mbeya.Wakati...
45 Reactions
207 Replies
5K Views
โš–๏ธUzito ni Msingi wa Mafanikio Katika Ufugaji wa Kuku wa Mayai! Kwa muda sasa tumekuwa tukitembelea wafugaji wa kuku wa mayai katika mikoa mbalimbali hapa nchini. Kitu cha kushangaza (lakini cha...
1 Reactions
5 Replies
999 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ