Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Ndugu wana Jf hasa jukwaa hili LA ujasiriamali na biashara.nilikuwa nauliza je ? Je kilimo cha Azolla mbegu zake hupatikana wapi,na ukilima Soko lake likovipi. Vipi General management yake ikoje?
0 Reactions
54 Replies
25K Views
Wana jamii Wana mabadiliko naombeni kujua mweny utaalamu na biashara ya tofali it means uwe na sehem, mashine na works kwa kufyatua na kuuza mtaji ni kama shiling ngap?? Thnx
0 Reactions
11 Replies
57K Views
Wanajamvi naombeni ushauri..,mimi ni mgeni kwenye masuala ya kilimo.Nina shamba langu la ekari 5 lipo maeneo ya BUNGU- Rufiji.Naomba kuuliza ni aina gani ya mazao ya biashara yanakubali ukanda...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Naitaji kufanya kilimo cha mboga mboga maeneo yanayozunguka Dar es salam. Sasa nataka kujua kwa wenye uzoefu mzuri mtaji wa kimo cha chini na cha kati niwe na shilingi ngapi.
0 Reactions
22 Replies
12K Views
Mwanzilishi wa kampuni ya Microsoft Bill Gates, amezindua kampeni ya kusaidia watu maskini zaidi barani Afrika, kusini mwa jangwa la sahara, kwa kufuga kuku. Bilionea huyo Bill Gates anasema kuwa...
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Wakuu habari. Wakuu hapa nilipo nilianzisha greenhouse japo haikufanya vizuri. Mtaalamu wangu akashauri nitafute udongo wa aina fulani uliokuwa unapatikana mkoa wa pili so nikakodi gari kwenda...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu wanajanvi, nahitaji kufanya kilimo cha mpunga cha umwagiliaji, naomba mwenye habari za kilimo hicho ikiwa ni pamoja na jinsi ya kupata mashamba, gharama za ukodishaji, gharama za kilimo na...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu naombeni msaada kwa mwenyeji wa mkoa tajwa hapo juu. Mimi ni kijana niliyemaliza chuo CBE dar es salaam. Kutokana na ajira Kuwa ngumu nimeamua bora nijihusishe na kilimo cha karanga...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habarini wana Jf. Naomba msaada kwa anayejua namna ya kuhifadhi vitunguu.Nahitaji kuhifadhi peto kama 10 hivi kwa muda wa miezi miwili hadi mitatu hivi. Natanguliza Shukrani.
0 Reactions
18 Replies
9K Views
Maisha ni changamoto sana. Ukiwa mfugaji wa kuku nyumbani kwako unakaribisha panya kwa kasi sana kupitia vyakula vya kuku kama pumba, paraza ,uduvi , dagaa n.k ! Ukishaona tu kuna panya nyumbani...
1 Reactions
17 Replies
7K Views
Habari wadau, Nahitaji kufuga kuku wa mayai yaani Layers, Naomba kupata ushauri wa kitaalamu namna ya kuwatunza kuanzia siku ya kuwapokea.
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Habari wana Jamvi, Naomba mnisaidie, matunda ya mipapai yangu yamepungua utamu (sukari) sijui ni kitu gani naomba anyefahamu tatizo tafadhali anijulishe. Ni mbeu ya Malkia F1
0 Reactions
4 Replies
3K Views
mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji naomba msada kwa anae jua dawa ya mafua ya kuku.
0 Reactions
14 Replies
23K Views
Habari ndugu zangu? Poleni na majukumu ya kila siku, mimi nina swali naomba mwenye kufahamu utatuzi sahihi anisaidie hapa. Tatizo la mizizi kuoza katika kilimo cha green beans naitaji kufahamu...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini ndugu zangu?. Samahanini kwa usumbufu....ninaomba mnisaidie kujua ni eneo gani (kitongoji/wilaya/mkoa) zinapopatikana ndizi za kuiva kwa wingi...na itapendeza zaidi kama nikasaidiwa kujua...
1 Reactions
51 Replies
8K Views
Habari zenu wadau. Poleni na majukumu. Nna trekta nakaribia kukamilisha ununuzi wake rasmi kwa ajili ya kuchapa kazi na mpango wangu ni kulikodisha kwa wadau wataolima kwa kutumia trekta naomba...
0 Reactions
27 Replies
10K Views
Baada ya wafanya biashara kugoma kununua korosho kwa bei ya zaidi ya shilingi 3000 hatimaye Serikali yaamua kijitosa katika hili na kuamua kununua kwa bei ya sh. 3300 kwa kilo. Hii ni moja ya kazi...
0 Reactions
2 Replies
831 Views
Habari wadau humu ndani. Nina shamba lenye ukubwa wa eka 30 Wilaya ya Mkuranga ndani ndani huko. Mipango yangu ni kupanda mazao ya kudumu eka 20 kati ya hizo 30 msimu wa masika yajayo. Naomba...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna video ina trend, twitter inamuonesha ofisa mmoja wa serikali akiwa na waandishi wa habari kwenye ofisi ya kampuni inayomilikiwa na mama wa kizungu mmoja wakijibizana kwa madai kuwa kampuni...
5 Reactions
17 Replies
3K Views
Wadau, naomba msaada wa kupata elimu zaidi juu ya utengenezaji wa funza kama chakula cha kuku. na pia naomba kufahamu kama hawa funza kwa hapa Tanzania wanauzwa, basi naomba kufahamu ni wapi...
0 Reactions
7 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…