GreenMkulima Initiative
Member
- Nov 13, 2018
- 20
- 5
Habari ndugu zangu?
Poleni na majukumu ya kila siku, mimi nina swali naomba mwenye kufahamu utatuzi sahihi anisaidie hapa.
Tatizo la mizizi kuoza katika kilimo cha green beans naitaji kufahamu haya yafuatayo:-
1. Chanzo cha ugonjwa/tatizo
2. Ipi ni dawa sahihi na inachukua muda gani kufanya kazi.
3. Tatizo hili linaweza athiri kiasi gani mazao
4. Je ipi ni namna bora ya kulikabili hapo baadae.
Nimeambatanisha picha za mimea niliyoigundua hivi karibuni.
Natanguliza shukrani wakuu.
Poleni na majukumu ya kila siku, mimi nina swali naomba mwenye kufahamu utatuzi sahihi anisaidie hapa.
Tatizo la mizizi kuoza katika kilimo cha green beans naitaji kufahamu haya yafuatayo:-
1. Chanzo cha ugonjwa/tatizo
2. Ipi ni dawa sahihi na inachukua muda gani kufanya kazi.
3. Tatizo hili linaweza athiri kiasi gani mazao
4. Je ipi ni namna bora ya kulikabili hapo baadae.
Nimeambatanisha picha za mimea niliyoigundua hivi karibuni.
Natanguliza shukrani wakuu.