Ushauri aina bora kilimo cha mazao ya kudumu Mkuranga

my king

Member
Jan 22, 2014
48
9
Habari wadau humu ndani.
Nina shamba lenye ukubwa wa eka 30 Wilaya ya Mkuranga ndani ndani huko.
Mipango yangu ni kupanda mazao ya kudumu eka 20 kati ya hizo 30 msimu wa masika yajayo.
Naomba muongozo aina ya mazao ya kupanda, wapi nitapata miche bora, na ushauri elekezi wa utunzaji wa miche hiyo hadi kufikia kutoa mazao.
Karibuni wadau kwa mawazo yenu
 
mkuranga seh gani? kuna maji? unamtaji?ww uliponunua uliplan kupanda nn? nipo mkuranga naweza kukushauri ila mpaka niione ardhi na nijue kama maji yapo
 
mkuranga seh gani? kuna maji? unamtaji?ww uliponunua uliplan kupanda nn? nipo mkuranga naweza kukushauri ila mpaka niione ardhi na nijue kama maji yapo

Panaitwa Mibulani, maji nategemea mvua mtaji, mtaji upo kiasi, aina ya vipando naomba ushauri wenu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom