Habari wadau humu ndani.
Nina shamba lenye ukubwa wa eka 30 Wilaya ya Mkuranga ndani ndani huko.
Mipango yangu ni kupanda mazao ya kudumu eka 20 kati ya hizo 30 msimu wa masika yajayo.
Naomba muongozo aina ya mazao ya kupanda, wapi nitapata miche bora, na ushauri elekezi wa utunzaji wa miche hiyo hadi kufikia kutoa mazao.
Karibuni wadau kwa mawazo yenu
Nina shamba lenye ukubwa wa eka 30 Wilaya ya Mkuranga ndani ndani huko.
Mipango yangu ni kupanda mazao ya kudumu eka 20 kati ya hizo 30 msimu wa masika yajayo.
Naomba muongozo aina ya mazao ya kupanda, wapi nitapata miche bora, na ushauri elekezi wa utunzaji wa miche hiyo hadi kufikia kutoa mazao.
Karibuni wadau kwa mawazo yenu