Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Na Bakari Chijumba Naibu Waziri wa Kilimo Omary Mgumba amesema Tanzania inakusudia kuwa mzalishaji mkubwa wa zao la korosho Duniani ambapo imeweka mkakati wa kufikia uzalishaji wa tani milioni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
KITABU CHA MASUALA YA GREENHOUSE SASA KINAPATIKANA Habari wajasirimali wote na wanajihusiha na kilimo cha kisasa na wanaowiwa kujihusisha na kilimo cha kisasa hasa Greenhouse/Nethouse , sasa...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu.wale wote Wanaopenda kilimo cha umwagiliaji hasa cha kutumia drip line system.katika kilimo cha mazao ya Muda mfupi Karibuni Sana hapa.kama una wazo la kutuelimisha zaidi kwa...
2 Reactions
37 Replies
11K Views
MAHITAJI - Kuku(tetea) 10 - Jogoo 01 -Banda bora -Vyombo vya chakula na maji -Chakula bora -Madawa na chanjo kwajili ya magonjwa -Chanzo cha nishati joto na mwanga -Elimu na ujuzi wa malezi bora...
10 Reactions
21 Replies
8K Views
Wadau kuna mtu humu ndani anauzoefu na hii banki Labda amewahi kuomba mkopo atupe uzoefu wake Nahisi hii inaweza kuwa fursa nzuri kama tukiitumia vizuri
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu, nalenga kuotesha miche ya mipaina(pines) ili kupunguza gharama za kununua miche iliyooteshwa. Lakini sina uelewa wa kutosha wapi nipate mbegu bora ikiwezekana za kisasa...
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Mimi mfungaji wa kuku wa kienyeji Nitatizo ktk kulea vifaranga Naomba msaada njia gan bora Ya kulea vifaranga Maana nina kuku wangu watotolesha vifaranga 11 mpaka 13 Ila kwenye kulea wanabaki...
1 Reactions
40 Replies
46K Views
Wapendwa, Naomba mnisaidie kwa anayejua jinsi ya kuweza kuwapata vifaranga vya layers - either kutoka interchick au mkuza chick . Ninahitaji layers vifaranga 500, nipo mkoani njombe. Ntanguliza...
1 Reactions
11 Replies
6K Views
Jaman naombeni msaada nipo hapa mwanza nataka nilime kilimo cha siku 90-120 nipeni ushauri naweza kilimo cha zao gani kwa hapa mwanza ila mtaji nnao Tsh 200000 eneo lipo
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wana Jamii, Kwa kifupi nimeanza kufuga Kuku wa Mayai (Layers) ni mgeni kabisa katika suala la ufugaji kuku wangu kwa sasa wana wiki 10 ila kuna Kuku kama 20 kati ya 300 wanatoa machozi...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwenu wataalam na wadau wa kilimo huu ni mche wa pilipili hoho nimeujaribu kuchunguza shambani nikaona miche mitano iko zaifu baada ya kuing'oa nikakutana na hali hii je ninaweza kutumia dawa zipi...
0 Reactions
0 Replies
907 Views
Kwa wale wafugaji wa kuku wa kienyeji na wasio na uwezo wa kupata artificial incubators, fuata njia hii kutotolesha vifaranga vingi katika kipindi kifupi. Uwe na majike kadhaa wanaotaga (mfano...
18 Reactions
42 Replies
43K Views
Habari zenu wadau? Naomba msaada wa kujuzwa mikoa na wilaya ambazo/ ambayo naweza kwenda kulima mpunga kwa msimu huu wa mvua. Naombeni mnisaidie hasa wilaya zinazofaa kwa shughuli ya kilimo...
0 Reactions
19 Replies
7K Views
Wakuu naomba kujua mbegu ipi nzuri ya parachichi za budding
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wakuu habari poleni na majukum ya kitaifa!!! Ase naombeni msaada nina kuku wa kienyeji matetei 30 na majogoo 4 tatizo hawa kuku nahisi kama kuna mtu ananichezea kwenye kuku wangu yani kuku...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Tafadhali mwenye ufaham naomba msaada kujua utaratibu na mchakato mzima mpaka kupata kibali cha biashara hiyo
0 Reactions
5 Replies
19K Views
Naombei mwenye kujua tatizo hili la mpapai kuangusha matunda wakati wakuchanua aniambie nidawa gani nitumie ili mpapai uendelee na kutoa matunda maana saivi kila uwa likichanua tu linaanguka hii...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani naombeni mnisaidie kama kuna mfugaji bata mwenye uzoefu.... bata wangu vifaranga huwa vinakufa sana naombeni mnisaidie ni tatizo gani hili na nifanye nini kuzuia hili?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wana JF. Ninajaribu kujifunza kuhusu kilimo cha uyoga na pia ninaperuzi na masoko yake. Nataka kuwa mkulima wa uyoga lakini nataka kwanza nijue namna ya kutoa uyoga bora na kupata masoko...
3 Reactions
175 Replies
87K Views
Natumai mu wazima wanashiriki wa jukwaa hili. Kama heading inavyojieleza naomba kwa mwenye uzoefu na kilimo cha mpunga maeneo ya Ifakara anisaidie taarifa kuhusu yafuatayo :- i. Upatikanaji wa...
2 Reactions
27 Replies
27K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…