Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Safari ilianza kilimo ni Uti wa mgongo ( jembe la mkono likatawala tukampata mbunge anaitwa mkono ) hadi kilimo kwanza ikishindikana labda tatizo ni darasa la kwanza kubeba begi kama mtu wa form...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Natumaini mu wazima wana jamvi! Kwa yeyote mwenye uelewa kuhusu kilimo cha miti ya matunda Tanzania naomba anisaidie. Ukiwa na maelezo ya kitaalam itapendeza zaidi, na kama una uelewa wa juu juu...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Ninaomba kwa anayejua hivi ni kwanini ugonjwa wa mafua huwa unawashambulia sana kuku hawa, na ni kwanini ukitumia dawa unaisha kwa muda na unarudi tena. Nahitaji msaada wafugaji wenzangu na...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Nawasalimu kwa pamoja ndugu zangu, Mimi nimejiunga huku kwa nia ya kujifunza, kwa namna ya kipekee sana mmenipokea na kunionyesha ushirikiano hasa pale nilipohitaji msaada wa mawazo. Asanteni...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari JF, Wakulima nao waongelea hapa, ni wale ndugu zangu wanaotegemea kilimo cha jembe la mkono ambao ni wengi kuliko wale wanaofanya kilimo cha kisasa. Pamoja na kuwa na mahitaji mengine...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanabodi, poleni kwa majukumu. Lengo la kuanzisha uzi huu ni kutaka kufahamu kilichosibu soko la mayai ya kisasa. Kwa wale wafugaji wa kuku wa mayai watakuwa na kumbukumbu ya miaka yote ya...
2 Reactions
26 Replies
4K Views
Wadau nimekutana na hiki kitu moja ya kuku wangu, ila manyoya yamenyonyoka mgongoni.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Iko hivi, nimejipanga kufanya kilimo cha umwagiliaji msimu wa kiangazi. Nina shamba ekari 4. Natarajia kiangazi kikianza nichimbe maji then nifunge pampu. Nitakuwa napandisha maji kwa generator...
0 Reactions
60 Replies
11K Views
Habari ndugu zangu wa JamiiForums, Nilikuwa naomba msaada wa kujua moja mbili tatu ya biashara na ukulima wa maharage machanga, naomba kujua mfano kwa upande wa Arusha nasikia kuna makampuni...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Nimenunua incubator ya kutengeneza hapa ndani. Tarehe10/12/2018,niliweka Mayai tray 20 kwa Mara ya kwanza. Mwisho wa siku vimetoka vifaranga30 tu. Wajuzi nisaidieni,hapo tatizo ni Mashine au...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wakuu, Kwa wale wajuzi wa aina za mbwa naomba mnisaidie utaalamu wenu kwa mbwa huyu, anaonekana ni chotara sasa ndio nataka kuelewa amechanganyia na mbwa gani kwa muonekano wake. Ana mkia...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Wadau wa kilimo, naomba msaada kwenye changamoto hii ya ugonjwa kwenye miti ya matunda. Ugonjwa huu pia umeshambulia miembe, mistafeli na mipapai. Pichani ni mti wa mpera umepata ugonjwa kama...
3 Reactions
24 Replies
11K Views
Baada ya kukomaana nikaamua kulima na hatimae nimefikia hapa nimeamua kulima mahindi, na kunde kiukweli nashukuru nilipo fikia. na mwakani nampango wa kulima ufuta hapo hapo kiukweli shamba liko...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu zangu naomba ushauri kwenu maana mimi sasa nashindwa nitumie mbolea ipi. Kwa kifupi mwaka juzi nilitumia Dap ilinipa matokeo mazuri, mwaka jani nikaambiwa Yaraceitirio nikatumia sikupata...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nawasalimu kwa pamoja ndugu zangu, Mimi nimejiunga huku kwa nia ya kujifunza, kwa namna ya kipekee sana mmenipokea na kunionyesha ushirikiano hasa pale nilipohitaji msaada wa mawazo. Asanteni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanajamii Niko mikoa ya nyanda za juu kusini. Nashukuru sana kwa watu wanaochangia elimu kwa jamii kupitia jukwaa hili. Ninalo shamba ambalo sijaliendeleza ekari NNE. Ninapenda kufanya kilimo cha...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Imeunganishwa huku https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1631168/
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Pamoja na Jitihada kubwa zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano kuboresha zao la korosho kwa wakulima kupata bei nzuri ambayo haijawahi kutokea hapo nyuma kwa mfumo wa stakabadhi ghalani, mfumo...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Nimeona kwenye mitandao na kugundua kuwa kuna kilimo ama ufugaji wa konokono katika nchi mbali mbali hapa duniani na soko lilivyo kubwa la wakonokono duniani. Nimeona Nigeria wao wamefanikiwa...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
salaam! nimeanzisha ufugaji na nataka kuwa na shamba kubwa la ufugaji,eneo nimepata na nimeanza kiasi sehemu nyingine kabla sijahamia rasmi kwenye shamba kubwa gharama ya kununua chakula iko...
1 Reactions
29 Replies
15K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…