Nikweli Mbwa hafungwi kwa kamba ya katani, lakini tena tunashauri Mbwa asikae sana bandani nao ni wanyama ambao kunawakati wanahitaji uhuru wao na kuzunguka eneo la nyumba, hii huwasaidia Mbwa kutoa stress zakufungiwa mno. Unaweza ona Mbwa anafoka kila saa akiwa bandani ukafikiri ni mkali kumbe ni stress za kufungiwa kila maraHamna kitu sipendi kuona mbwa kafungwa kamba shingoni kama mbuzi
atleast mtu atumie nyororo ila hata nyororo pia sipendi sana
kwanini mbwa asipelekwe bandani kwake au kwann asitengenezewe sehemu yake
kisha akaachwa huru?
Sahihi kabisa ila kama ni wa ulinzi anatakiwa asionane sana na watu.Nikweli Mbwa hafungwi kwa kamba ya katani, lakini tena tunashauri Mbwa asikae sana bandani nao ni wanyama ambao kunawakati wanahitaji uhuru wao na kuzunguka eneo la nyumba, hii huwasaidia Mbwa kutoa stress zakufungiwa mno. Unaweza ona Mbwa anafoka kila saa akiwa bandani ukafikiri ni mkali kumbe ni stress za kufungiwa kila mara
Ukifungua banda tu power anayotoka nayo hakuna wa kumzuia na hudhuru chochote atakacho kutana nacho.Hamna kitu sipendi kuona mbwa kafungwa kamba shingoni kama mbuzi
atleast mtu atumie nyororo ila hata nyororo pia sipendi sana
kwanini mbwa asipelekwe bandani kwake au kwann asitengenezewe sehemu yake
kisha akaachwa huru?
Sahihi kabisa ila kama ni wa ulinzi anatakiwa asionane sana na watu.
/Quk
Ukali wa Mbwa unategemeana na koo aliyotoka na vile atakavyo fundishwa, kumfungia ndani tuu sio njia sahihi ya kuleta ukali kwa Mbwa,