Mkuu inawezekana maana nimemkuta bandani hivyo na banda linafungwa vizuri ila niliambiwa kwamba majogoo walikuwa wanampanda kila mara maana wapo kama watano hivi hadi akaishiwa nguvu. Sasa sijajua kama ndo sababu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.