Mashine za kutengeneza chakula cha mifugo

conservative3

JF-Expert Member
Nov 12, 2013
1,116
762
salaam!
nimeanzisha ufugaji na nataka kuwa na shamba kubwa la ufugaji,eneo nimepata na nimeanza kiasi sehemu nyingine kabla sijahamia rasmi kwenye shamba kubwa
gharama ya kununua chakula iko juu,je kuna mtu anafahamu sehemu ambapo mashine zinauzwa za kutengeneza vyakula vya mifugo hasa kuku.na wastani bei kiasi gani kwa mashine hizo?
zinatumia mafuta au umeme?
naomba msaada
 
Nafaham pale ubungo (nyuma ya landmark hotel) wanatengeneza bei zake zilikua kuanzia 2.5 milion na kuendelea kulingana na ukubwa/uwezo wa mashine.
 
kuna wakati sido nilikwenda mwezi ulopita nikaomba niambiwe iko ofisi ipi ya sido nipewa stori tu na kuonyeshwa mashine zingine hiyo haikuwepo
Sawa mkuu
Ngoja nicheki kwenye kumbukumbu zangu kama nikiiona namba ya injinia huyo (wa hapo ubungo ) nitakupatia.

Mimi ninafanya kazi ktk kiwanda kimoja wapo cha kuzalisha chakula cha mifugo hapa dar.
 
Sawa mkuu
Ngoja nicheki kwenye kumbukumbu zangu kama nikiiona namba ya injinia huyo (wa hapo ubungo ) nitakupatia.

Mimi ninafanya kazi ktk kiwanda kimoja wapo cha kuzalisha chakula cha mifugo hapa dar.
bila shaka kitakua cha pale tegeta nyaishozi,, vp mkuu mnanunua mahindi au tayari mnaoda toka kwa mtu ambaye anawaleteaga
 
bila shaka kitakua cha pale tegeta nyaishozi,, vp mkuu mnanunua mahindi au tayari mnaoda toka kwa mtu ambaye anawaleteaga
Hahaha
Sio cha tegeta,
Na mahindi hatuna oda hivyo unaweza nambia kama unayo unauzaje maana karibu tutayahitaji mkuu
 
salaam!
nimeanzisha ufugaji na nataka kuwa na shamba kubwa la ufugaji,eneo nimepata na nimeanza kiasi sehemu nyingine kabla sijahamia rasmi kwenye shamba kubwa
gharama ya kununua chakula iko juu,je kuna mtu anafahamu sehemu ambapo mashine zinauzwa za kutengeneza vyakula vya mifugo hasa kuku.na wastani bei kiasi gani kwa mashine hizo?
zinatumia mafuta au umeme?
naomba msaada
Waone SIDO Mkuu
 
Hahaha
Sio cha tegeta,
Na mahindi hatuna oda hivyo unaweza nambia kama unayo unauzaje maana karibu tutayahitaji mkuu
nina gunia 150,,gunia moja nauza 120,000,,kiwanda kipo sehem gan hapo dar,,niuganishe mkuu niwe nawakusanyia mahindi na mashudu then nawaleteeni hapo
 
nina gunia 150,,gunia moja nauza 120,000,,kiwanda kipo sehem gan hapo dar,,niuganishe mkuu niwe nawakusanyia mahindi na mashudu then nawaleteeni hapo
Gunia la kilo ngapi?
Nataka kujua kilo moja ni bei gani mkuu
 
Duh..
Mahindi yako ni yale ya wanyama au ni yale mazuri yakufaa ugali kabisa?
yale ya ugali kaka,,,niliuza kidogo kwenye kiwanda cha unga kipo igwachanya mkoani njombe,,coz hata mimi nalimia na kujumua huko njombe kijijini
 
yale ya ugali kaka,,,niliuza kidogo kwenye kiwanda cha unga kipo igwachanya mkoani njombe,,coz hata mimi nalimia na kujumua huko njombe kijijini
Hapo sawa mkuu
Mahindi ya chakula cha mifugo kidogo yako chini ya bei yako maana huwa na ubora mdogo pia
 
salaam!
nimeanzisha ufugaji na nataka kuwa na shamba kubwa la ufugaji,eneo nimepata na nimeanza kiasi sehemu nyingine kabla sijahamia rasmi kwenye shamba kubwa
gharama ya kununua chakula iko juu,je kuna mtu anafahamu sehemu ambapo mashine zinauzwa za kutengeneza vyakula vya mifugo hasa kuku.na wastani bei kiasi gani kwa mashine hizo?
zinatumia mafuta au umeme?
naomba msaada
Kuna ant yangu anayo (pichan). Aliitumia kama miezi mitano akaacha kwa sababu alikosa formula sahihi ya kutengeneza vyakula. Ipo Iringa mjini na ina weza kuchanganya tani 10 kwa siku. Ni ya umeme lakn under modification inaweza kufungwa engine ya diesel. Kama upo serious tuwasiliane.
7913349e01af44318fc6fedad767c33b.jpg
 
Kuna ant yangu anayo (pichan). Aliitumia kama miezi mitano akaacha kwa sababu alikosa formula sahihi ya kutengeneza vyakula. Ipo Iringa mjini na ina weza kuchanganya tani 10 kwa siku. Ni ya umeme lakn under modification inaweza kufungwa engine ya diesel. Kama upo serious tuwasiliane.
7913349e01af44318fc6fedad767c33b.jpg
Je, aunt wako hahitaji formula kwa sasa?
 
Back
Top Bottom