Kuzorota kwa Uchumi wa Kenya: Rais Uhuru Kenyatta amemtupia lawama Mgombea Urais, Raila Odinga(NASA). Amedai maandamano ya wapinzani yanachangia.
Asema wanaweza kuendelea na maandamano lakini...
Polisi nchini Uganda wamezifunga ofisi za chama cha upinzania cha 'Forum for Democratic Change (FDC)' kutokana na kupanga kufanya maandamano kupinga ukomo wa umri wa mgombea urais. Polisi wamekaa...
Niliwahi kukutana na jamaa mmoja mganda huko Kakurezato Japan, tukiwa pamoja mafunzoni na akanishangaza sana kuhusu yule aliyekuwa adui yetu watanzania miaka ya 70 nduli Idd Amin Dada.
Alisema...
Spika wa Bunge la Uganda, Rebecca Kadaga, ameamuru rasimu ya muswada unaolenga kubadili kifungu cha katiba kinachoweka mkomo wa umri wa rais, upelekwe kwa wananchi.
Hatua hiyo imeungwa mkono na...
Vitu vinavyokisiwa kuwa guruneti vimetumiwa kushambulia nyumba za wabunge wawili wa upinzani nchini Uganda, mmoja wao akiwa ni mwanamuziki ambaye sasa ni mbunge Bobi Wine, kwa mujibu wa gazeti la...
Spika wa Bunge la Uganda Rebecca Kadaga amewasimamisha waziri na wabunge 25 kuhudhuria vikao vya bunge kwa madai ya kushiriki katika vurugu ambayo ilimlazimisha kuahirisha kikao siku ya Jumatano...
Baada ya kutokea mambo ya utovu wa nidhamu na hatimaye Wabunge kuchapana makonde kavukavu bungeni Uganda, uongozi wa bunge hilo umepiga marufuku matangazo mubashara kutoka bungeni. Hapa Tanzania...
Fujo zilizotokea kwenye bunge la Uganda zimepelekea kusitishwa kwa matangazo ya moja kwa moja ya kutoka bungeni yanayochochea umma, kwa mujibu wa habari iliyotoka kwa mdhibiti mawasiliano wa...
Wabunge nchini Uganda wamepigana ndani ya ukumbi wa bunge wakiwa katika siku ya pili ya kikao cha kujadili wa muswada wa kuondoa ukomo wa miaka ya kugombea nafasi ya urais kwa mjibu wa katiba ya...
Baraza la Viongozi wa Dini nchini limetoa wito kwa serikali kuruhusu hoja ya ukomo wa umri wa rais iamriwe na wananchi wote kwa kupiga Kura ya Maoni.
Baraza hilo linalojumuisha wakuu saba wa...
Spika Jacob Oulanyah ameahirisha mjadala kuhusu ukomo wa umri wa rais hadi wiki ijayo baada ya kuona polisi wengi wamesambazwa kuzunguka jengo la Bunge, maeneo kadhaa ya jiji la Kampala na...
To my brothers and sisters from Uganda. I humbly ask you help me get information to where I may get Japanese motors and bikes spare parts. It is said there in Uganda these things are sold at a...
Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema upelelezi kubaini sababu za ajali iliyosababisha vifo vya Watanzania 13 waliokuwa wakitoka harusini nchini humo unaendelea.
Waziri wa Ofisi ya Rais...
Huyu ni Kiiza Besigye ambaye ni Mpinzani wa ukweli nchini Uganda akitoa maoni yake khs uchaguzi uliofanyika nchini Kenya, sasa linganisha na chadema yetu.
Besigye anaongelea matatizo...
Takriban watu saba wametiwa nguvuni katika mji mkuu wa Uganda Kampala, kufuatia maandamano ya kupinga mapendekezo ya muswada wa sheria unaoondoa kikomo cha umri wa mtu anayegombea urais.
Katiba...
Waziri wa Afya, Sarah Opendi avaa Hijab na kujifanya mgonjwa katika hospitali ya Naguru ambayo ni ya Serikali na kubaini tabia ya rushwa ilivyokithiri.
Kwa kutokujua kwamba ni Waziri, Daktari...
I am a Tanzanian, unbiased, open minded, great thinker; Interests declared.
Well I have a discussion to propose and I present my argument as follows;
Personally I find the country (Uganda) as a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.