Naomba usaidizi nasafiri Kampala wiki ijayo ningependa usaidizi kujua guest za bei ya mwananchi wa kawaida Kampala mjini ni zipi na forex bureau zenye rates poa
Rais Museveni wa Uganda amelihutubia taifa na kusema kuwa tarehe 04 mwezi June shule zote za msingi, secondary na vyuo vitafunguliwa tarehe 04 June mwaka huu.
Bwana Museveni pia ameitaka wizara...
The number of COVID-19 cases in the country has risen to 274 after 10 people tested positive for the disease on Wednesday.
Out of the 10 cases, nine are truck drivers while one case is a contact...
Rais wa Uganda Yower museven amesema Leo amefanya utafit unoa onesha kua. Binadam kwa siku anaweza kula gram 250 za unga kwa mlo mmoja ivyo akiwagawia raia wake kilo mbil mbili wataweza kula kwa...
Leo katika kupitia pitia katika mitandao ya kijamii nimekuta kuna video inasambaa katika facebook ikionyesha mwanamke mmoja ambaye inasemekana ni muhadhiri katika chuo kimoja nchini Uganda...
Kama magufuli alivyo kwisha sema before kua Hana imana na vipimo huenda ikawa kweli hotuba ya Jana ya Rais kaguta museven alipo kua analiutubia taifa kasema kua wakenya wamekua sababu kubwa ya...
Katika harakati za kupambana na janga la Covid 19 nchini Uganda, Rais wa Nchi hiyo Yoweri Museveni amesema kuwa serikali itawagawia wananchi wake wote Barakoa. Aidha, Rais ameweka bayana kuwa...
Leo katika kupitia pitia katika mitandao ya kijamii nimekuta kuna video inasambaa katika facebook ikionyesha mwanamke mmoja ambaye inasemekana ni muhadhiri katika chuo kimoja nchini Uganda...
Wizara ya Afya Uganda imetangaza ongezeko la Wagonjwa 21 wote wakiwa raia wa Uganda na wamepatikana baada ya sampuli 1,071 kupimwa katika mipaka ya nchi hiyo
Wagonjwa hao wamepatikana katika...
Visa ya #COVID19 nchini Uganda vimefikia 160 baada ya visa vipya 21 kutangazwa jana kufuatia sampuli 1,896 kupimwa hapo jana
Kati ya sampuli hizo, 1,593 ni madereva wa malori na 303 ni sampuli...
Arua, Uganda | THE INDEPENDENT | Five Tanzanian truck drivers who tested positive for COVID-19 have been discharged from Arua Regional Referral Hospital. They include four drivers who were...
Serikali ya Uganda imeanza kutumia mashine za GeneXpert mipakani, ili kuwapima madereva wa magari ya mizigo kabla ya kuingia nchini humo
Taarifa kutoka Wizara ya Afya imesema kumekuwa na...
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuwa itakua ni 'uwendawazimu' kuendesha uchaguzi wakati wa mlipuko wa virusi vya corona.
Ameliambia shirika la habari la Uganda NBS kwamba mipango ya...
Wakati Kenya ikilalamika kwamba Tanzania ndio chimbuko la virusi, waganda wanaiona Kenya ndio nchi yenye kuingiza virusi kwa wingi nchini mwao.
Tanzania haijachukua hatua Kali kama kuwauwa raia...
Wizara ya Afya imesema dereva mmoja amekutwa na maambukizi baada ya sampuli 2,168 za madereva kufanyiwa vipimo.
Dereva huyo ni raia wa Kenya mwenye umri wa miaka 27 na aliingia Uganda kupitia...
Katika hali ya kushangaza, kutia aibu na kusikitisha, Raisi Museveni ameitisha maombi ya nyumbani, ambapo yeye akiwa na mkewe wameonekana wakiongozwa maombi na muombaji ambaye aliomba kuwa...
BREAKING: ministry of healthy of uganda has reported again today
13 truck drivers test positive for coronavirus in Uganda
[emoji3532]Results of samples tested on 8 May, 2020 confirmed 13 new...
Kama ambavyo tumekuwa tunashauri, maisha hayawezi kusimama kabisa. Ni kweli lipo janga lakini tujikinge wakati mambo mengine yanaendelea.
Tulisema kuwa baadhi ya nchi nyingi zili over react, of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.