Wizara ya Afya imetangaza Wagonjwa wapya 07 wa #COVID19 baada ya sampuli 2,532 kupimwa jana. Wagonjwa wote ni Waganda na jumla ya maambukizi imefikia 686
Wagonjwa 3 wamepatika katika sampuli...
Wizara ya Afya nchini humo imetangaza ongezeko la Wagonjwa 30 baada ya sampuli 3,758 kufanyiwa vipimo kwa siku ya jana. Idadi ya maambukizi nchini humo imefikia 646
Katika sampuli hizo 3,758...
Wizara ya Afya imesema visa vipya 35 vimethibitishwa nchini humo baada ya sampuli 2,267 kufanyiwa vipimo. Kati ya sampuli hizo 1,412 ni kutoka mipakani na 855 ni za wananchi wa kawaida
Vilevile...
Wizara ya Afya yarekodi visa vipya 40 vya COVID19 nchini humo na idadi ya maambukizi hadi sasa ni 457, Wagonjwa wapya wote ni raia wa Uganda.
23 kati yao ni madereva wa malori waliotokea Sudan...
UPDATE: Uganda confirm 15 new #COVID19 cases. The total confirmed cases are now 522.
• 4 are truck drivers who arrived from Tanzania via Mutukula
• 2 are truck drivers from Busia
• 9 are among...
Wizara ya Afya imetangaza ongezeko la wagonjwa wapya 15 na visa vya COVID19 nchini humo vimefikia 522 huku idadi ya waliopona ikiwa 82
Katika wagonjwa hao 15, wanne ni madereva wa malori...
Wizara ya Afya imetangaza visa vipya 18 vilivyothibitishwa baada ya sampuli 1,086 kufanyiwa vipimo jana, maambukizi nchini humo yamefikia 507.
Kwenye sampuli 1,086 zilizopimwa, 774 ni kutoka...
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuwa Shule, makanisa, misikiti, vilabu, vilabu vya usiku, maeneo ya kufanyia mazoezi na saluni za urembo zitaendelea kufungwa ili kuepuka maambukizi ya...
Wizara ya Afya imesema watumishi 7 wa sekta ya afya nchini humo wamethibitishwa kupata maambukizi ya COVID19
Waliopata Virusi hivyo ni manesi 3, madaktari 2, na wafanyakazi 2 wa ngazi ya juu. Kwa...
Madereva 5 wa magari ya mizigo wamekataliwa kuingia Uganda baada ya kukutwa na maambukizi ya #CoronaVirus. Sampuli za watu 655 zilipimwa mpakani na madereva hao wakakutwa, na kukabidhiwa kwa...
Total, a global, integrated energy producer and provider, has expressed its intention to build the 1,400km-long oil pipeline from Uganda's Lake Albert to Tanzania's northeastern port of Tanga as...
Wizara ya Afya nchini humo imetangaza ongezeko la Wagonjwa wengine 28 na kufanya jumla ya visa vya #CoronaVirus Nchini humo kufikia 281
Wagonjwa 21 ni madereva wa malori walioingia Uganda kupitia...
Uganda imetangaza Wagonjwa 31 wapya wa #COVID19 waliopatikana baada ya sampuli 1,116 kupimwa ndani ya saa 24 zilizopita na kufanya jumla ya maambukizi kufikia 253
Wagonjwa 23 ni kutoka mipakani...
Construction of Isimba bridge excites locals
FRIDAY JANUARY 24 2020
Project. The pillars that are being constructed to hold the Isimba Bridge. PHOTO BY FRED MUZAALE
In Summary
Progress. Eng...
Naomba usaidizi nasafiri Kampala wiki ijayo ningependa usaidizi kujua guest za bei ya mwananchi wa kawaida Kampala mjini ni zipi na forex bureau zenye rates poa
Rais Museveni wa Uganda amelihutubia taifa na kusema kuwa tarehe 04 mwezi June shule zote za msingi, secondary na vyuo vitafunguliwa tarehe 04 June mwaka huu.
Bwana Museveni pia ameitaka wizara...
The number of COVID-19 cases in the country has risen to 274 after 10 people tested positive for the disease on Wednesday.
Out of the 10 cases, nine are truck drivers while one case is a contact...
Rais wa Uganda Yower museven amesema Leo amefanya utafit unoa onesha kua. Binadam kwa siku anaweza kula gram 250 za unga kwa mlo mmoja ivyo akiwagawia raia wake kilo mbil mbili wataweza kula kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.